Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende kwa 1.8M faster!Kiwanja kipo Kiegeya (Mkundi) Morogoro
Kimepimwa na kina hati ( documents ) za malipo halali ya serikali na wizard ardhi
Kinafikika kwa hali zote
Ni kiwanja no 3775
Bei Tsh.2.5m
Njoo Mazungumzo yapoView attachment 3039800
Ukitoka mjini ukiwa waelekea dom ukivuka reli.mwendo kas kidaraja mbele kulikuwa mzani zamani ndiyo uaanza mkundi utaona sheli mkono kulia kwako ndio hiyo barabara mbele kuna huo mtaaa bada hapaja jengeka sana ndiyo kuanazaUnaweza kutoa details kidogo kwamba hiyo Kiegeya ipo barabara ya wapi ukiwa hapo Morogoro? Na vyema ukaeleza kuhusu huduma nyingine za Kijamii
Babu wa mchongo karibu "mlogolo"😀Unaweza kutoa details kidogo kwamba hiyo Kiegeya ipo barabara ya wapi ukiwa hapo Morogoro? Na vyema ukaeleza kuhusu huduma nyingine za Kijamii
Nipo Arusha Mkuu ila kwa huo ukubwa na kama kuna maji na miundombinu mingine ni bei ndogo sana. Au labda kwavile nipo Arusha ambapo viwanja ni ghali.Karibu kujiridhisha muhimu pia uwekezaji mzuri usihofu
Mm sio dalali ni mali yangu halal
Dada kumbe upo mlogo na hausemi, nina mwezi hapa sijapata kampani ya mwenyejiBabu wa mchongo karibu "mlogolo"😀
Kwa Moromboo unapata vya bei hzo mkuuNipo Arusha Mkuu ila kwa huo ukubwa na kama kuna maji na miundombinu mingine ni bei ndogo sana. Au labda kwavile nipo Arusha ambapo viwanja ni ghali.
Karibu sana dogo, upo kipande ipi?Dada kumbe upo mlogo na hausemi, nina mwezi hapa sijapata kampani ya mwenyeji
Asante mkuu, nilitoka huko miaka kama 10 iliyopita, so sikuwa na taarifa baada ya kutoka huko, nilikua na eneo jirani na hapo i think unafahamu shule ya sekondari ya kayenzi, sio mbali na kiegea kutoka hapo.Hamna tena mgogoro pamepimwa kila mtu ana miliki yake
Na ramani ndiyo jiyo Blok P
Karibu
😁😁Tangu niwe member jf, kwa mara yakwanza nimeitwa dogo. Itakua nimeandika kiujana sana😄😄Karibu sana dogo, upo kipande ipi?