Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Basi karibu sana.😁😁Tangu niwe member jf, kwa mara yakwanza nimeitwa dogo. Itakua nimeandika kiujana sana😄😄
Nipo apa apa town.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi karibu sana.😁😁Tangu niwe member jf, kwa mara yakwanza nimeitwa dogo. Itakua nimeandika kiujana sana😄😄
Nipo apa apa town.
Asante sanaBasi karibu sana.
Ya vizuri mijengo ipo ya maana ndgHizi ni picha za 2012 kiegea .
Kipindi si kumejengeka sana mkuu?
View attachment 3039891View attachment 3039892
Kiwanja cha hiyo bei Arusha utakikuta Kisongo mbele huko kuelekea Monduli tena kitakuwa ni Mita 15 kwa 20. Morombo hupati kitu Mkuu ukiambiwa kipo ujue unapigwa.Kwa Moromboo unapata vya bei hzo mkuu
Asante Mjukuu, ngoja nifanye maandalizi nihamue kabisa "Mlogolo" yenu 🤗Babu wa mchongo karibu "mlogolo"😀
Shukrani Kwa maelezo yaliyo jitosheleza 🙏Ukitoka mjini ukiwa waelekea dom ukivuka reli.mwendo kas kidaraja mbele kulikuwa mzani zamani ndiyo uaanza mkundi utaona sheli mkono kulia kwako ndio hiyo barabara mbele kuna huo mtaaa bada hapaja jengeka sana ndiyo kuanaza
Kilishauzwa?Kiwanja kipo Kiegeya (Mkundi) Morogoro
Kimepimwa na kina hati ( documents ) za malipo halali ya serikali na wizard ardhi
Kinafikika kwa hali zote
Ni kiwanja no 3775
Bei Tsh.2.5m
Njoo Mazungumzo yapoView attachment 3039800