Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Itakuwa huku maeneo ya kizwite uelekeo wa mto lwiche hapa Sumbawanga manispaaToangoma ndio iko wapi?
Kongowe /kigamboniToangoma ndio iko wapi?
Ndio,ongeza dauToangoma kigamboni au wap?...kuna 2.5m hapa nije
Ongezaongeza mkuu2.6m chap
Weka bei ya mwisho nije kupaonaNdio,ongeza dau
Mil 4Weka bei ya mwisho nije kupaona
Pole kwa jamaa yako ila hichi hakina hizo ishuKina hati au ndo mambo ya hati serikali ya mtaa a.k.a kupigwa.
Toangoma mnauza viwanja sana na mnakula dili na viongozi wa serikali za mtaaa,4years ago jamaa angu alitonywa kiwanja chao kimesafishwa na kupandwa miti,tunamhoji mwenyekiti analeta story kilichompata hatosahau Maisha yake.Ila huruma ilinijia KWA aliyeuziwa Daah so sad,mtu unakuta umeduduliza vijifedha vyako afu mtu akutapeli kiwanja
Kipo karibuBado kipo?
Mtendaji pale ni kimeo.Kina hati au ndo mambo ya hati serikali ya mtaa a.k.a kupigwa.
Toangoma mnauza viwanja sana na mnakula dili na viongozi wa serikali za mtaaa,4years ago jamaa angu alitonywa kiwanja chao kimesafishwa na kupandwa miti,tunamhoji mwenyekiti analeta story kilichompata hatosahau Maisha yake.Ila huruma ilinijia KWA aliyeuziwa Daah so sad,mtu unakuta umeduduliza vijifedha vyako afu mtu akutapeli kiwanja
Bei haiendani na market price ya maeneo hayo mkuu. Wanunuzi muwe makini tu.Mbona bei ndogo sana maeneo hayo?