Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,401
- 2,336
Habari,ninauza kiwanja kilichopo wilaya ya ubungo, Kata Makuburi, kipo karibu na kwa mzee wa Upako. Karibu Km 1.5 kutoka Mandela road. Ni mwendo wa dk 20 kwa miguu kutoka kituo cha daladala ubungo riverside.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM 2700, kimepimwa, kina nyaraka za serikali ya mtaa (Hati inashughulikiwa, ukikinunua basi linawekwa jina lako moja kwa moja).
Ndani ya kiwanja kuna nyumba ya kuishi yenye vyumba vitatu, kimoja master, public toilet, sebule, dining na jiko.
Kiwanja kina uzio na pia kuna kisima cha kuchimba.
Bei ni Milion 550.
Mawasiliano: 0654323679
Karibuni sana.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM 2700, kimepimwa, kina nyaraka za serikali ya mtaa (Hati inashughulikiwa, ukikinunua basi linawekwa jina lako moja kwa moja).
Ndani ya kiwanja kuna nyumba ya kuishi yenye vyumba vitatu, kimoja master, public toilet, sebule, dining na jiko.
Kiwanja kina uzio na pia kuna kisima cha kuchimba.
Bei ni Milion 550.
Mawasiliano: 0654323679
Karibuni sana.