Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside karibu kwa mzee wa Upako, Kibangu Ruge-SQM 2700

Exogenous Factor

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2015
Posts
1,401
Reaction score
2,336
Habari,ninauza kiwanja kilichopo wilaya ya ubungo, Kata Makuburi, kipo karibu na kwa mzee wa Upako. Karibu Km 1.5 kutoka Mandela road. Ni mwendo wa dk 20 kwa miguu kutoka kituo cha daladala ubungo riverside.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM 2700, kimepimwa, kina nyaraka za serikali ya mtaa (Hati inashughulikiwa, ukikinunua basi linawekwa jina lako moja kwa moja).

Ndani ya kiwanja kuna nyumba ya kuishi yenye vyumba vitatu, kimoja master, public toilet, sebule, dining na jiko.

Kiwanja kina uzio na pia kuna kisima cha kuchimba.

Bei ni Milion 550.
Mawasiliano: 0654323679
Karibuni sana.

 
Ni hivi karibuni tu soko la pale Ubungo,stend ya zamani ya mabasi ya mikoani litaanza kufanya kazi. Soko ili litaongeza idadi ya wageni wanaoingia na kutoka nchini mwetu,ili eneo linafaa sana kwa ujenzi wa nyumba za kisasa (BNB), apartments za kupangisha, kama mtu anataka kutengeneza godowns panafaa sana. Panafikika kirahisi sana.

Naendelea kuwakaribisha na BEI IMESHUKA!
 
Bei rahisi sana, umekwama wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…