Kiwanja Kinauzwa?

Kiwanja Kinauzwa?

wapalepale

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
259
Reaction score
58
samahani wa jf. namba kama kuna mtu anataarifa za kiwanja kinachouzwa maeno ya tabata segerea.. nahitaji nisaidieni
 
Tafadhali taja ukubwa unaohitaji na uwezo/bajeti yako itasaidia. ninavyo viwanja ila sina mpango wa kuviuza - ukitaja ukubwa na uwezo wako naweza shawishika kuuza.
 
Tafadhali taja ukubwa unaohitaji na uwezo/bajeti yako itasaidia. ninavyo viwanja ila sina mpango wa kuviuza - ukitaja ukubwa na uwezo wako naweza shawishika kuuza.

kama 1/2 hekt au 1hekt.. isizidi milion 12.
 
Back
Top Bottom