kwadilo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 756
- 898
Habari Wana jukwaa
Hongereni na poleni kwa changamoto ngumu za ujenzi wa nchi.
Maelezo
Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, Jimbo la Ukonga. Kata ya Kitunda
Kutoka Banana unapanda gari za Magole
Ukubwa wa viwanja
1. Kiwanja Cha kwanza kina meter 14 kwa meter 17
Kipo kwenye barabara ya mtaa
Bei Yake ni 3m tu.
2. Kiwanja cha pili kina ukubwa wa meter 20 kwa 20
Sqm 400
Kipo tambarare vizuri
Bei: 5.5m
Huduma za maji, umeme, shule, barabara
Zote zipo
Mawasiliano: 0785 857564
Hongereni na poleni kwa changamoto ngumu za ujenzi wa nchi.
Maelezo
Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, Jimbo la Ukonga. Kata ya Kitunda
Kutoka Banana unapanda gari za Magole
Ukubwa wa viwanja
1. Kiwanja Cha kwanza kina meter 14 kwa meter 17
Kipo kwenye barabara ya mtaa
Bei Yake ni 3m tu.
2. Kiwanja cha pili kina ukubwa wa meter 20 kwa 20
Sqm 400
Kipo tambarare vizuri
Bei: 5.5m
Huduma za maji, umeme, shule, barabara
Zote zipo
Mawasiliano: 0785 857564