Plot4Sale Kiwanja Kitunda kinauzwa 3m tu

Plot4Sale Kiwanja Kitunda kinauzwa 3m tu

kwadilo

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
756
Reaction score
898
Habari Wana jukwaa
Hongereni na poleni kwa changamoto ngumu za ujenzi wa nchi.

Maelezo
Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, Jimbo la Ukonga. Kata ya Kitunda
Kutoka Banana unapanda gari za Magole
Ukubwa wa viwanja
1. Kiwanja Cha kwanza kina meter 14 kwa meter 17
Kipo kwenye barabara ya mtaa
Bei Yake ni 3m tu.

2. Kiwanja cha pili kina ukubwa wa meter 20 kwa 20
Sqm 400
Kipo tambarare vizuri
Bei: 5.5m
Huduma za maji, umeme, shule, barabara
Zote zipo

Mawasiliano: 0785 857564


IMG_20221112_153007_811.jpg
IMG_20221112_152940_537.jpg
IMG_20221112_152850_322.jpg
IMG_20221112_153118_646.jpg
IMG_20221112_153107_897.jpg
IMG_20221112_152856_623.jpg
IMG_20221112_154617_222.jpg
IMG_20221112_154423_974.jpg
IMG_20221112_154449_103.jpg
IMG_20221112_154420_317.jpg
IMG_20221112_154431_568.jpg
IMG_20221112_154442_580.jpg
 
Habari Wana jukwaa
Hongereni na poleni kwa changamoto ngumu za ujenzi wa nchi.
Maelezo
Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, Jimbo la ukonga. Kata ya kitunda
Kutoka banana unapanda gari za magole
Ukubwa wa viwanja
1. Kiwanja Cha kwanza kina meter 14 kwa meter 17
Kipo kwenye barabara ya mtaa
Bei Yake ni 3m tu.

2. Kiwanja cha pili kina ukubwa wa meter 20 kwa 20
Sqm 400
Kipo tambarare vizuri
Bei: 5.5m
Huduma za maji, umeme, shule, barabara
Zote zipo

Mawasiliano: 0785 857564


View attachment 2414564View attachment 2414565View attachment 2414566View attachment 2414567View attachment 2414568View attachment 2414569View attachment 2414570View attachment 2414571View attachment 2414572View attachment 2414573View attachment 2414574View attachment 2414575
Iko cha kwanza kula kula 1.5 m
 
Habari Wana jukwaa
Hongereni na poleni kwa changamoto ngumu za ujenzi wa nchi.
Maelezo
Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, Jimbo la ukonga. Kata ya kitunda
Kutoka banana unapanda gari za magole
Ukubwa wa viwanja
1. Kiwanja Cha kwanza kina meter 14 kwa meter 17
Kipo kwenye barabara ya mtaa
Bei Yake ni 3m tu.

2. Kiwanja cha pili kina ukubwa wa meter 20 kwa 20
Sqm 400
Kipo tambarare vizuri
Bei: 5.5m
Huduma za maji, umeme, shule, barabara
Zote zipo

Mawasiliano: 0785 857564


View attachment 2414564View attachment 2414565View attachment 2414566View attachment 2414567View attachment 2414568View attachment 2414569View attachment 2414570View attachment 2414571View attachment 2414572View attachment 2414573View attachment 2414574View attachment 2414575
Uuzaji wa viwanja 20 kwa 20 na kushuka chini UMEPIGWA MARUFUKU na Wizara ya Ardhi, hakuna hati itakayotolea hapo
 
Uuzaji wa viwanja 20 kwa 20 na kushuka chini UMEPIGWA MARUFUKU na Wizara ya Ardhi, hakuna hati itakayotolea hapo
Hakuna kinachoshindikana kwenye hii nchi..... Lakini watu wa Dar wapuuzi sana kiwanja 20 kwa 20 ndio mtindo wao halafu Bei mlima
 
Uuzaji wa viwanja 20 kwa 20 na kushuka chini UMEPIGWA MARUFUKU na Wizara ya Ardhi, hakuna hati itakayotolea hapo
Mkuu viwanja vingi vya serikali ni sqm 400 kushuka chini
Kuna mzee wangu kanunua viwanja kwenye mradi mpya wa viwanja vya serikali mtumba mjini dodoma
Kimoja kina sqm 336
Kingine sqm 378
Pia kumbuka si kila mwananchi ana uwezo wa kununua kiwanja chenye Sqm 1200+
Zingine ni siasa tu tuziache Kama zilivyo
 
Mkuu viwanja vingi vya serikali ni sqm 400 kushuka chini
Kuna mzee wangu kanunua viwanja kwenye mradi mpya wa viwanja vya serikali mtumba mjini dodoma
Kimoja kina sqm 336
Kingine sqm 378
Pia kumbuka si kila mwananchi ana uwezo wa kununua kiwanja chenye Sqm 1200+
Zingine ni siasa tu tuziache Kama zilivyo
Maelekezo ya Waziri ni AMRI, ukileta ubishi utakwama kwenye kupatiwa kibali cha ujenzi huko Halmashauri
 
Back
Top Bottom