ntakisigae
Senior Member
- Nov 26, 2013
- 186
- 66
Kiwanja kipo Kimbiji kwa Moriss,km30 kutoka Kigamboni.Ukubwa ni mita20 kwa 20. Kipo jirani na barabara kuu lakini nje ya mawe ya hifadhi ya barabara.Kipo jirani na ufukwe(beach).
Panafaa kwa minara ya simu,fremu za maduka, mashine za kusaga,duka la hardware,hoteli ,baa,kufyatulia na kuuzia matofali,kuuzia miti na maua nk.Umeme upo jirani, mani baridi yanapatikana ukichimba kisima.
Eneo linajengeka kwa kasi.Si mbali na Kiwanda cha saruji(sementi), JKT na Magereza Kimbiji.
Bei ni mil4.5.Karibuni, sihitaji Dalali.
Mawasiliano: 0657011122
Panafaa kwa minara ya simu,fremu za maduka, mashine za kusaga,duka la hardware,hoteli ,baa,kufyatulia na kuuzia matofali,kuuzia miti na maua nk.Umeme upo jirani, mani baridi yanapatikana ukichimba kisima.
Eneo linajengeka kwa kasi.Si mbali na Kiwanda cha saruji(sementi), JKT na Magereza Kimbiji.
Bei ni mil4.5.Karibuni, sihitaji Dalali.
Mawasiliano: 0657011122