Ubuntuwize
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 312
- 93
Habari zenu wakuu kwa ujumla, natumai mu wazima wa afya na kwalio na matatizo ya kiafya poleni ila Mungu muweza yote natumai atawaponya ili tujumuike wote katka ujenzi wa taifa kwa ujumla..... SASA HAPA KUNA BIASHARA KWA ALIE TAYARI TUTA ZUNGUMZA.... KUNA KIWANJA MAENEO YA MBWENI NI MEDIUM DENSITY(44 X20) KINAUZWA KWA YEYOTE ALIE TAYARI BASI TUWASILIANE (ANI PM)....ahsante nawakilisha