Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,074
- 308
Kipo Mbezi Kunguru karibu sana na shule maalufu nchini kwa kufaulisha watototo nchini iitwayo St Joseph Millenium Secondary. Unapitia njia ya Masaah Hospital kukiendea ukitokea Samaki wabichi Mbezi Beach barabara ya Bagamoyo. Kinaukubwa wa heka moja. Hakijapimwa. Kipo salama muuzaji anajulikana na anatambulika na uongozi wa serkari ya mtaa na ya juu yake. Bei sh 12milioni. kwa maelezo zaidi piga 0717114409