Kiwewe ! Kiwewe

Calist

Senior Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
130
Reaction score
7
Unaandika sms nzuuri ya kuisifia nyumba ndogo yako, unakosea unaituma kwa mkeo wa kweli naye baada ya kuisoma anakupigia kukushukuru kwa sms nzuri uliyomtumia, kwa kuwa hukuwa umelenga kuituma kwake unashikwa na kiwewe unajibu hivi, ' samahani mke wangu sms haikuwa yakwako - hilo zali unalipoza kivipi ?
 
Du! hii mada ungeipeleka kule jukwaa la mahusiano ingepata wachangiaji wengi sana na hivyo tungejifunza mengi mno.
 
inategemea sms hiyo kama haukutaja jina la nyumba ndogo, my wife wako atajua imemlenga yeye, nadhani hapo hupaswi kuwa na kiwewe wala hofu. Kinachohitajika kwako ni kujiamini ku explain utakapomface baadae.
 
inategemea sms hiyo kama haukutaja jina la nyumba ndogo, my wife wako atajua imemlenga yeye, nadhani hapo hupaswi kuwa na kiwewe wala hofu. Kinachohitajika kwako ni kujiamini ku explain utakapomface baadae.

Huyo jamaa alikuwa f**a tu, kimazingira kitendo cha mke kupiga kumshukuru ina maana haikuwa na jina... hapo ilikuwa ni ku-appreciate shukrani unazopewa, though unajua msg haikuwa yake!!!!:rain:
 
Unanikumbusha kisa cha mke aliyempa zawadi ya boxers 10 mumewe kisha mume akalalamika mbona umeniletea za rangi moja?Mke akauliza kwani kuna tatizo zikiwa za rangi moja?Na mume akajibu kuwa tatizo lipo sana tu si watajua nina boxer moja tu..
 
Unanikumbusha kisa cha mke aliyempa zawadi ya boxers 10 mumewe kisha mume akalalamika mbona umeniletea za rangi moja?Mke akauliza kwani kuna tatizo zikiwa za rangi moja?Na mume akajibu kuwa tatizo lipo sana tu si watajua nina boxer moja tu..

Hahahahah....hapo kuna kazi!
 
Unanikumbusha kisa cha mke aliyempa zawadi ya boxers 10 mumewe kisha mume akalalamika mbona umeniletea za rangi moja?Mke akauliza kwani kuna tatizo zikiwa za rangi moja?Na mume akajibu kuwa tatizo lipo sana tu si watajua nina boxer moja tu..

nahisi palichimbika!
 
Kama hukuandika jina la nyumba ndogo haina tatizo.
 
Unanikumbusha kisa cha mke aliyempa zawadi ya boxers 10 mumewe kisha mume akalalamika mbona umeniletea za rangi moja?Mke akauliza kwani kuna tatizo zikiwa za rangi moja?Na mume akajibu kuwa tatizo lipo sana tu si watajua nina boxer moja tu..

Hivi naruhusiwa kucheka!!!!
 
Du! hii mada ungeipeleka kule jukwaa la mahusiano ingepata wachangiaji wengi sana na hivyo tungejifunza mengi mno.

Sitaki kuamini ina maana nimepotea njia humu, nilijua niko ndani ya jukwaa la mahusiano, mapenzi n.k, du ngoja nichomke fasta
 
Nani aliyekwambia ujibu kuwa sms sio yake? Nani? Inaonyesha ulitaka bifu na mkeo sasa pambana ushauri wa nn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…