Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

Bora nilichoandika kinaeleweka kuliko wewe umeandika heufi nane tu zisizo na maana wala heshima... Onesha upo kwenye forum ya wenye akili Tatizo mnachukulia ushabiki tu maandazi... sababu hamna ujasiri unajificha nyuma ya keyboard...
Wewe umejificha mbele ya keyboard
 
..walionyima TL matibabu nao wanataabika sana ktk nafsi zao.
 
Hapo nyuma kidogo niliwahi kuuliza, je yawezekana wakuu wa vyombo mbali mbali nchini walijua kilichokuwa kinaendelea kuhusu hatma ya Mh. Tundu Antiphas Lissu? Je yawezekana waratibu na watekelezaji walikuwa na uhakika Mh. Tundu Lissu hangeendelea kuwa hai saa 24 baada ya kumiminiwa idadi kubwa ya risasi mwilini?

Ukweli kwamba Mwenyezi Mungu kasikiliza maombi ya wengi na hivyo kumuepusha na kifo Mh. Tundu Antiphas Lissu, kumewachanganya wahusika hadi kila moja anaibuka na tamko lake! Je kuibuka kwa kauli na vitendo kutoka kwa viongozi mbalimbali huku hali ya Mh. Tundu Antiphas Lissu ikiendelea kuimarika, kunatupa picha gani?

Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi, kusikia mengi na kushuhudia mengi kwani walichopanga kutenda hawa waovu Mwenyezi Mungu kawakatalia na sasa wanahaha nafsi zao zikiwasuta!

HISIA HISIA TU HAKUNA UKWELI WOWOTE WA USHIRIKI WA VYOMBO VYA DOLA NI ASSUMPTIONS ZISIZO NA CHEMBE YA USHAHIDI.
 
Kwenye tukio la uvamizi wa lisu sitaki hata kidogo kuruhusu hisia zangu za kifikra kumuhukum MTU ili hali lisu hajafa Mungu atawatoa hadharani kweupe
 
Kwenye tukio la uvamizi wa lisu sitaki hata kidogo kuruhusu hisia zangu za kifikra kumuhukum MTU ili hali lisu hajafa Mungu atawatoa hadharani kweupe
Kinachonihuzunisha zaidi ni huu unafiki ambao wengine wenu mnaouonesha katika tukio hili...kwanza huyo lisu unayemtaja unamjua wewe tu, pili unatakiwa uwe na heshima kidogo hata kama humpendi Mh. Tundu Lissu na tatu Mungu tayari anawatoa hadharani waliohusika. Mwenye macho haambiwi ona na kiwewe kizito kilichowakumba wahusika hakifichiki na kimeanza kuwaumbua moja baada ya mwingine...fuatilia wanavyopayuka hovyo kila moja akitoka na lwake.
 
wtf... Thread ya Kijinga i thought una jambo jipya muhimu umebaini kumbe upuuzi tu kama mlevi wa chibuku... Watanzania acheni kuongea pumba hadharani ulitakiwa ukatoe maoni haya kwenye thread zilizopita na sio kuanzisha thread as if Umebaini kitu kipya....

FICHA UPUMBAVU WAKO.
Mbona na wewe unaweweseka??
 
Walipanga kwa furaha jaribio la kuangamiza maisha TL sasa wanakaa kwenye mikutano kwa kujilaumu kutofanikisha adhima yao
 
Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi,
Hivi unaijua hali ya lissu au umeanza kununua mbeleko kabla hujazaa?
Lissu bado anahitaji matibabu ya hali ya juu
 
Tanzania x 2 nakupenda kwa moyo wote,nchi yangu tanzania nakupenda kwa moyo wote.nilalapo nakuwaza wewe niamkapo ni heri mama wee -----''''
 
Hata kuandika hujui...Kiswahili taabu na Kiingereza taabu, wewe ni mzaliwa wa wapi au ni yale yale ya fent ford! Rudi kwanza shule ujue hata kuandika ndio utakuwa na uwezo wa kuelewa ujumbe uliokusudiwa. Huna tofauti na viwavi vilivyovamia JF siku za karibuni...unashusha hadhi ya jamvi letu, shame on you!
Ukitaka ujue shame goes after you, angalia maneno hayo uliyoandika kwa mkono wako. Elimu ninayo mkubwa. Tena kubwa tuuu! Wakati naandika meseji yangu ya kwanza nilikuwa maktaba yangu nikitafuta wanachama wa opus dei hapa Tz. Wakati nikiendelea, kijana wangu akaja na ombi la msaada wangu. Alikuwa anafanya genetic algorithm ikakwama sehemu. Mkononi alikuwa ameshika kitabu cha Chromosomal and gene aberration. Nikatoa msaada na hapo nikawa nimepumzika na kujikuta nikiandika meseji isiyo na umuhimu sana hapa JF.

Wakati ukiandika hayo ya kwako ulikuwa unafanya nini? Ni lipi muhimu kuliko muda wako hapa JF? Usinianmbie ni kusoma ilani ya chama. Au usiniambie unasoma kitabu cha conflict resolution. Hapo nitaelewa kwamba brain yako haikuzoea mambo yanayohitaji higher brain power.
 
Hapo nyuma kidogo niliwahi kuuliza, je yawezekana wakuu wa vyombo mbali mbali nchini walijua kilichokuwa kinaendelea kuhusu hatma ya Mh. Tundu Antiphas Lissu? Je yawezekana waratibu na watekelezaji walikuwa na uhakika Mh. Tundu Lissu hangeendelea kuwa hai saa 24 baada ya kumiminiwa idadi kubwa ya risasi mwilini?

Ukweli kwamba Mwenyezi Mungu kasikiliza maombi ya wengi na hivyo kumuepusha na kifo Mh. Tundu Antiphas Lissu, kumewachanganya wahusika hadi kila moja anaibuka na tamko lake! Je kuibuka kwa kauli na vitendo kutoka kwa viongozi mbalimbali huku hali ya Mh. Tundu Antiphas Lissu ikiendelea kuimarika, kunatupa picha gani?

Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi, kusikia mengi na kushuhudia mengi kwani walichopanga kutenda hawa waovu Mwenyezi Mungu kawakatalia na sasa wanahaha nafsi zao zikiwasuta!

Hivi maiti za wanaume wawili zilizokutwa guest jana huko Tanga ....ni za watu gani .....huenda ikawa ni za waliojaribu kumuuwa Lissu Wanaanza kuuwana , kwani mnakumbuka hata wale waliomuuwa Lt Gen Imran Kombe ...Walianza kufa katika mazingira ya ajabu ajabu ....na hata wale waliokutwa na hatia wakafungwa walifia jela
 
Walishaanza kuropoka, nimemsikia mmoja jana wakiwaeleza wananchi wa kule kuwa wale waliowachagua ni wabunge halali, akasahau kuwa alishawaambia wafuasi wake kuwa anayeshirikiana na asiye "member" ni msaliti…!!!
 
wtf... Thread ya Kijinga i thought una jambo jipya muhimu umebaini kumbe upuuzi tu kama mlevi wa chibuku... Watanzania acheni kuongea pumba hadharani ulitakiwa ukatoe maoni haya kwenye thread zilizopita na sio kuanzisha thread as if Umebaini kitu kipya....

FICHA UPUMBAVU WAKO.
Kauli ya mlaleo inaonyesha ni mmoja wa wasiojulikana, inakukera nini mtu kutoa mawazo yake? Au tuwe na uhakika aliyesema TL ni adui wa taifa ndiye mhusika? Povu jiiiingi, subirini uovu wenu uwekwe wazi.
 
Hamtakufa bali mtaishi. Tundu Lissu hatakufa bali ataishi kwa msaada wa Mungu aliyehai. Muujiza wa Lisu ni fimbo tosha kwa magaidi na waoga wenye roho mbaya. Kwa ajili hili ni taifa la Mungu, na Mungu hadhihakiwi waliohusika kupanga na kutekeleza mauwaji haya mtubu msipofanya hivyo ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yenu. Mungu anaipenda Tanzania Mungu anawapenda Watanzania na ndiyo maana ameonyesha muujiza kwa mtetezi halisi wa wanyonge na raslimali zetu!
kutubu huwa ni waziwazi kwa kuwa ulifanya sirini.Hiyo ndiyo kanuni ya toba ya kweli
 
Unapoona watu wanashangilia mwananchi mwenzao akitishiwa maisha ujue taifa linaelekea kubaya kwani anayetoa kitisho anaanza kujiona kama mungu-mtu mwenye mamlaka ya kuamua nani aishi na nani afe. Hicho ndicho kilichofanyika hapa, hao washangiliaji wanabariki kitendo cha kiongozi wao kuwaua asiokubaliana nao.
ni mikumbo tu hawajui kitu
 
Back
Top Bottom