Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

Hapo nyuma kidogo niliwahi kuuliza, je yawezekana wakuu wa vyombo mbali mbali nchini walijua kilichokuwa kinaendelea kuhusu hatma ya Mh. Tundu Antiphas Lissu? Je yawezekana waratibu na watekelezaji walikuwa na uhakika Mh. Tundu Lissu hangeendelea kuwa hai saa 24 baada ya kumiminiwa idadi kubwa ya risasi mwilini?

Ukweli kwamba Mwenyezi Mungu kasikiliza maombi ya wengi na hivyo kumuepusha na kifo Mh. Tundu Antiphas Lissu, kumewachanganya wahusika hadi kila moja anaibuka na tamko lake! Je kuibuka kwa kauli na vitendo kutoka kwa viongozi mbalimbali huku hali ya Mh. Tundu Antiphas Lissu ikiendelea kuimarika, kunatupa picha gani?

Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi, kusikia mengi na kushuhudia mengi kwani walichopanga kutenda hawa waovu Mwenyezi Mungu kawakatalia na sasa wanahaha nafsi zao zikiwasuta!
Actually what they did with their expectation to the man is quite disappointing them! Up to date our beloved mp is still a live there is one day they are going to walk along the street while NAKED wonderfully we cannot identify them, but they are going to carry luggage of rubbishes soon as if they are having mental defects.
 
Albadir inasomwa kwa matakwa ya aliyeumizwa sio nyie na msomaji anatakiwa awe msafi sasa bahati mbaya Watanzania wote ni wachafu kitabia so ni day dream... Kama Lisu kapona kifo basi hawezi ombea waliomdhuru na wao wadhurike... labda Wapambe tu ndio maana wanaitwa Wapambe Nuksi
Mbona ww hutaki waliomdhuru wadhurike ? Kwani unahisi ni watu wenye roho nzuri mkuu ?!
DUA zetu zitajibu tu.
hata kama sio kesho basi kesho kutwa!
 
Waliopanga na kutekeleza hili watakufa vifo vibaya sn.
Mungu yupo.
Asante pia Mungu Kwa kuuonesha ukuu wako.
 
Hapo nyuma kidogo niliwahi kuuliza, je yawezekana wakuu wa vyombo mbali mbali nchini walijua kilichokuwa kinaendelea kuhusu hatma ya Mh. Tundu Antiphas Lissu? Je yawezekana waratibu na watekelezaji walikuwa na uhakika Mh. Tundu Lissu hangeendelea kuwa hai saa 24 baada ya kumiminiwa idadi kubwa ya risasi mwilini?

Ukweli kwamba Mwenyezi Mungu kasikiliza maombi ya wengi na hivyo kumuepusha na kifo Mh. Tundu Antiphas Lissu, kumewachanganya wahusika hadi kila moja anaibuka na tamko lake! Je kuibuka kwa kauli na vitendo kutoka kwa viongozi mbalimbali huku hali ya Mh. Tundu Antiphas Lissu ikiendelea kuimarika, kunatupa picha gani?

Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi, kusikia mengi na kushuhudia mengi kwani walichopanga kutenda hawa waovu Mwenyezi Mungu kawakatalia na sasa wanahaha nafsi zao zikiwasuta!
Mbuna umeandika upumbavu sasa,hata haueleweki wataka nin
 
Hapo nyuma kidogo niliwahi kuuliza, je yawezekana wakuu wa vyombo mbali mbali nchini walijua kilichokuwa kinaendelea kuhusu hatma ya Mh. Tundu Antiphas Lissu? Je yawezekana waratibu na watekelezaji walikuwa na uhakika Mh. Tundu Lissu hangeendelea kuwa hai saa 24 baada ya kumiminiwa idadi kubwa ya risasi mwilini?

Ukweli kwamba Mwenyezi Mungu kasikiliza maombi ya wengi na hivyo kumuepusha na kifo Mh. Tundu Antiphas Lissu, kumewachanganya wahusika hadi kila moja anaibuka na tamko lake! Je kuibuka kwa kauli na vitendo kutoka kwa viongozi mbalimbali huku hali ya Mh. Tundu Antiphas Lissu ikiendelea kuimarika, kunatupa picha gani?

Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi, kusikia mengi na kushuhudia mengi kwani walichopanga kutenda hawa waovu Mwenyezi Mungu kawakatalia na sasa wanahaha nafsi zao zikiwasuta!
Leo mmoja wao alikuwa anajikosha Dk.45 za ITV!
 
Si ajabu wakasema ni majambazi walotaka kumuibia gari,hizo ni habari za kiintelijensua
 
Screenshot_2017-10-09-22-40-21.png
 
Mbuna umeandika upumbavu sasa,hata haueleweki wataka nin
Subiri ndugu yangu, dakika zayoyoma. Kiwewe kizito kimekikumba kitengo cha wasioonekana na wasiojulikana kilichoanzishwa awamu hii ama kuutetea utawala au ikilazimika kuwanyamazisha wakosoaji. Viongozi wa kitengo nafsi zao zinawasuta hasa baada ya njama yao ya kumuua Mh. Tundu Lissu kutofanikiwa...wanatapatapa na muda si mrefu siri yote itakuwa nje nje. Dokezo...wapo wa mtandaoni na wapo wa mtaani, je wewe special Agent MOSSAD ni wa wapi?
 
Sikio langu halijapata bado muumbuano. Msaada kwenye tuta kama hutojali mkuu
Albert Einstein — ‘If I had an hour to solve a problem I'd spend 55 minutes thinking about the problem and 5 minutes thinking about solutions.’
  • Wala njama waanza kutofautiana...
  • Wasimamizi waanza kutimuana...
  • Watekelezaji waanza kusutana...
  • Wapambe waanza kusalitiana...
  • Wasojulikana waanza kuonekana...
  • Wasoonekana waanza kujulikana...
  • Wasotaka ushauri waingiwa wasiwasi...
  • Walojiamini waingiwa hofu...
 
Back
Top Bottom