Hizi njaa za Tanzania ni balaa kweli kweli. Kama uliamua kwenda kuanzisha chama cha upinzani, kisha unarudi tena kwenye chama ulichokuwa unakipinga within a year basi utakuwa mgonjwa wa UBONGO.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Jamii (CCJ) - almanusura niandike CCM! - Richard Kiyabo, leo "amerejea" na kukabidhiwa kadi rasmi na Katibu Mkuu, Yusuf Makamba.
Habari zilizotangazwa sasa hivi na Taarifa ya Habari kwa Ufupi ya saa 10 jioni ya TBC1 zimetangaza.
Taarifa zitaendelea kuwafikia.
Hizi njaa za Tanzania ni balaa kweli kweli. Kama uliamua kwenda kuanzisha chama cha upinzani, kisha unarudi tena kwenye chama ulichokuwa unakipinga within a year basi utakuwa mgonjwa wa UBONGO.
aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha jamii (ccj) - almanusura niandike ccm! - richard kiyabo, leo "amerejea" na kukabidhiwa kadi rasmi na katibu mkuu, yusuf makamba.
Habari zilizotangazwa sasa hivi na taarifa ya habari kwa ufupi ya saa 10 jioni ya tbc1 zimetangaza.
Taarifa zitaendelea kuwafikia.