Kizazi cha 1980s ndiyo Kizazi cha Dhahabu

Kizazi cha 1980s ndiyo Kizazi cha Dhahabu

Kuanzia miaka 1970 mpaka 1990 hiki ni kizazi Bora sana. Sio hawa viazi wa 2000s.
Ubora wake uko wapi? Nyie mlishindwa kuijenga nchi, ikafika hapa ilipo.wazee wote ni waku laumiwa sana!

Mifumo yote ya kielimu, kijamii ilianza na ilianzishwa na hawa hawa wazee wa kizazi cha 1980/1990.. mifumo mibovu hii ya kujuana, Rushwa, connection,kumsifia kiongozi hata kwa sifa hasizo stahili, uchawa, kutegemea elimu upate Ajira chanzo chake vyote ni Kizazi cha miaka ya 1980/1999.

Remember a child is born with no state of mind Blind to the ways of Mankind.

Wazee ndio chanzo cha wao kushindwa kukua na teknolojia ilivyokuwa ikikua wao walibaki vijiweni kudiscuss Dini na kupiga soga zilizo zindikizwa na draft,bao na kahawa...

Poor Africa..!!!
 
Ubora wake uko wapi? Nyie mlishindwa kuijenga nchi, ikafika hapa ilipo.wazee wote ni waku laumiwa sana!

Mifumo yote ya kielimu, kijamii ilianza na ilianzishwa na hawa hawa wazee wa kizazi cha 1980/1990.. mifumo mibovu hii ya kujuana, Rushwa, connection,kumsifia kiongozi hata kwa sifa hasizo stahili, uchawa, kutegemea elimu upate Ajira chanzo chake vyote ni Kizazi cha miaka ya 1980/1999.

Remember a child is born with no state of mind Blind to the ways of Mankind.

Wazee ndio chanzo cha wao kushindwa kukua na teknolojia ilivyokuwa ikikua wao walibaki vijiweni kudiscuss Dini na kupiga soga zilizo zindikizwa na draft,bao na kahawa...

Poor Africa..!!!

Nchi inajengwa na sera.
 
Upo sahihi.

Naongezea:

Kizazi hiki pia ndicho kilichoshuhudia mabadiliko makubwa ya kiuchumi hususan kwa Tanzania, +ve & -ve

Hiki kizazi ndicho kilichopokea tafsiri mpya ya maendeleo mfano kumiliki magari mazuri, kumiliki nyumba kali, kumiliki biashara, kumiliki pesa ndefu na kadhalika. Hii ni kwa msaada mkubwa wa teknolojia.

Hawa ndio active users wa kwanza kabisa wa yahoo, google, email, n.k

Wengi wao wametoboa kimaisha kutokana na ku match na demand ya ukuaji wa teknolojia kwa wakati husika.

Upande wa pili, wachache wao wamepigika sana mtaani baada ya kuwa phased out na mfumo mpya wa ajira ama uchumi kwa lugha pana zaidi. Wameungana na kizazi cha miaka 90+ na kupanda juu kwenye msoto wa kiuchumi.

Hiki kizazi ndio mwisho wa kizazi cha 'natural thinking ability / critical thinkers'.

Hiki kizazi ndicho kilichofanya na kinachofanya revolution nyingi za kiuchumi na kisiasa.

Miaka 10 ijayo kizazi hiki kitakuwa kwenye madaraka ya juu (kiuchumi na kisiasa) na hata elites mbalimbali kitaifa na kimataifa.

Wengi wao ni wapinzani toka moyoni. Hawaipendi CCM. Hiki ndio kitakachoendesha mapambano dhidi ya utawala wa CCM.

Nenda field zozote kwenye nchi, tazama professionals wanaoheshimika utakuta ni hivi:

  • kizazi cha miaka 80s ama late 70s
  • kizazi cha walimu wa kizazi cha miaka ya 80s ama late 70s
Umemaliza vyote mkuu. Heshima yako.
 
Hata hujui unachozungumza hapa.

Kizazi cha 70s na 80s sio state decision makers. Wapo middle. Tena ni wachache sana.

Decision makers wa nchi hii ni wanafunzi wa Mwl Nyerere (JK, JPM, Samia) ambao most of them ni wazaliwa wa miaka 60s.

So, huna cha kuwalaumu kizazi cha 70s ama 80s maana bado ni wasaidizi wa kizazi cha 50s na 60s. Yaani ni km bado ni machawa wa kizazi cha miaka 50s na 60s
Kipindi mna saidiwa ku make decision na hao wazee wa 50s na 60s nyie majukumu yenu yalikuwa wapi? Mlikubali kila kitu mlicho ambiwa na hao wazee wa 50s na 60s pasipo kuhoji na kutoa maamuzi yenu kama wanajamii.

Hivyo na nyie mlikuwa Wajinga tu.
 
Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi,mfalme katika Yerusalemu.
Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.
Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?
Kizazi huja na kizazi hupita
lakini dunia yadumu daima.
 
Umezaliwa lini? Baada ya 1995? Basi kuna mambo matamu ulipishana nayo. Pole.

Kizazi cha 80s ndicho kizazi kilichoshuhudia mwisho na mwanzo wa mambo mengi. Watoto wa 80s ni wale waliozaliwa mwishoni mwa 70s mpaka mwishoni mwa 80s. Ndicho kizazi kilichozaliwa katikati ya mpito wa mabadiliko ya vitu vingi. Kwenye teknolojia hawa jamaa utoto wao wameishi kianalojia na utoto wao huo huo wameishi kidijitali. Hawa waliozaliwa miaka ya 80s huwadanganyi kitu kwa sababu wameishi maisha ya namna zote 2 na wana mengi ya kuelezea. Utoto wao walipeleka ujumbe wa mbali kwa miguu na utoto wao huo huo ndiyo waliyo zipokea simu za mkononi kwa mara ya kwanza na kuanza kutuma ujumbe wa mbali. Hawa walilelewa na kukuzwa kwa mziki mzuri na wakashuhudia pia mwanzo wa mziki wa hovyo mziki takataka unaopigwa mpaka sasa. Hawakuzaliwa kwenye utandawazi lakini wameukaribisha na kuuishi huo utandawazi. Hawa ndiyo watumiaji wa kwanza kabisa wa internet cafe, email, Google, Yahoo, Gmail, Hotmail na MSN. Ni mengi mno naweza kuyasema wacha nisiwamalizie nafasi ya kutiririka zaidi. Karibuni....
Na hatujakuzwa Kwa kununuliwa midoli bali tulikuwa na uwezo wa kuitengeneza midoli na kuichezea. Tumetengeneza Magali,ndege na chochote tulichokihitaji tuliingia mzigoni kukifanyia kazi. Nailmba serikali ikae meza moja na hiki kizazi kina manufaa makubwa sana kabla hatujazeeka tufanye kitu Kwa nchi yetu
 
Ubora wake uko wapi? Nyie mlishindwa kuijenga nchi, ikafika hapa ilipo.wazee wote ni waku laumiwa sana!

Mifumo yote ya kielimu, kijamii ilianza na ilianzishwa na hawa hawa wazee wa kizazi cha 1980/1990.. mifumo mibovu hii ya kujuana, Rushwa, connection,kumsifia kiongozi hata kwa sifa hasizo stahili, uchawa, kutegemea elimu upate Ajira chanzo chake vyote ni Kizazi cha miaka ya 1980/1999.

Remember a child is born with no state of mind Blind to the ways of Mankind.

Wazee ndio chanzo cha wao kushindwa kukua na teknolojia ilivyokuwa ikikua wao walibaki vijiweni kudiscuss Dini na kupiga soga zilizo zindikizwa na draft,bao na kahawa...

Poor Africa..!!!
Mimi nimezaliwa 80s, ila uko sahihi watu wanajisifia upumbavu humu, nchi isingekuwa hivi ilivyo...wafrika tuna matatizo makubwa.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Unae kichaa , unalinganisha kitambi na mimba.


Unapologetically .
 
Umezaliwa lini? Baada ya 1995? Basi kuna mambo matamu ulipishana nayo. Pole.

Kizazi cha 80s ndicho kizazi kilichoshuhudia mwisho na mwanzo wa mambo mengi. Watoto wa 80s ni wale waliozaliwa mwishoni mwa 70s mpaka mwishoni mwa 80s. Ndicho kizazi kilichozaliwa katikati ya mpito wa mabadiliko ya vitu vingi.

Kwenye teknolojia hawa jamaa utoto wao wameishi kianalojia na utoto wao huo huo wameishi kidijitali. Hawa waliozaliwa miaka ya 80s huwadanganyi kitu kwa sababu wameishi maisha ya namna zote 2 na wana mengi ya kuelezea.

Utoto wao walipeleka ujumbe wa mbali kwa miguu na utoto wao huo huo ndiyo waliyo zipokea simu za mkononi kwa mara ya kwanza na kuanza kutuma ujumbe wa mbali. Hawa walilelewa na kukuzwa kwa mziki mzuri na wakashuhudia pia mwanzo wa mziki wa hovyo mziki takataka unaopigwa mpaka sasa.

Hawakuzaliwa kwenye utandawazi lakini wameukaribisha na kuuishi huo utandawazi. Hawa ndiyo watumiaji wa kwanza kabisa wa internet cafe, email, Google, Yahoo, Gmail, Hotmail na MSN. Ni mengi mno naweza kuyasema wacha nisiwamalizie nafasi ya kutiririka zaidi.

Karibuni.
upo makini mzee uzi bora huu
 
Back
Top Bottom