mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Kwasasa mitaani kuna watoto shazi kotokana ña covid 19,
Hapa ninapoishi kuna eneo "open space" watoto kwasasa wanalitumia kwa michezo yao mblmbl l.............
Natoka zangu kiosk's kufanya yangu. Mara nakatiza hilo eneo huku nikikaribia kibandani kwangu nikakuta kuna kiogomvi cha kiana cha hao machalii
Kuna dogo mmoja akaleta za kiñyang'au kuamua lile soo....lkn muonekano wake ukanipa wenge
Dogo mwenyewe ajatimba miaka kumi kanyoa kiduku kaongeza na zile rasta za kushonea zina ranging shazi kinyonga akasome
Nikaskia wenzake wakimwambia kwa kutaja jina lake "kibabu hacha kuhanya nenda kamsikilize dingilai wacha morii mchede wede""
Basi huyo kibabu akawa anakuja nikaona ngoja namimi ni mdele kinyama
Mimi:Kibabu hujambo?...
Kibabuu: Niko fiti arifu in fuulu....?
Mimi:wewe ni mwanafunzi?
Kibabuu: Ndio...! Tena mwanafunzi dume...
Nikamwambia kaendeleeni kucheza........
Nmk
Hapa ninapoishi kuna eneo "open space" watoto kwasasa wanalitumia kwa michezo yao mblmbl l.............
Natoka zangu kiosk's kufanya yangu. Mara nakatiza hilo eneo huku nikikaribia kibandani kwangu nikakuta kuna kiogomvi cha kiana cha hao machalii
Kuna dogo mmoja akaleta za kiñyang'au kuamua lile soo....lkn muonekano wake ukanipa wenge
Dogo mwenyewe ajatimba miaka kumi kanyoa kiduku kaongeza na zile rasta za kushonea zina ranging shazi kinyonga akasome
Nikaskia wenzake wakimwambia kwa kutaja jina lake "kibabu hacha kuhanya nenda kamsikilize dingilai wacha morii mchede wede""
Basi huyo kibabu akawa anakuja nikaona ngoja namimi ni mdele kinyama
Mimi:Kibabu hujambo?...
Kibabuu: Niko fiti arifu in fuulu....?
Mimi:wewe ni mwanafunzi?
Kibabuu: Ndio...! Tena mwanafunzi dume...
Nikamwambia kaendeleeni kucheza........
Nmk