Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Ya dogo mmoja hivi kajamaa kalishusha nondo sana.Hiyo kampuni usikute ni ya Joyce kiria 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya dogo mmoja hivi kajamaa kalishusha nondo sana.Hiyo kampuni usikute ni ya Joyce kiria 😂😂
Aaaah nikajua ni ya mshangazi Joyce kiria 😂 😂....... Itabd siku moja nimtembeleeYa dogo mmoja hivi kajamaa kalishusha nondo sana.
Enzi hizo RFA masafa ya kati AM Redio mkoani inashi saa 7 mchana kujiunga na DW baada ya hapo inakata mpaka jioni wanajiunga na VOA (Mtangazaji mahiri Hadija Riami) baada ya hapo vipindi ni mwendo mdundo asee zamani raha sana.
Baadhi ya vipindi RFA👇🏻
1. Bolingo time (Tontoo Zuber Msabaha)
2. Je huu ni uungwana?
3. Je, Wajua? (Rebeca Muresi)
4. Michezo na RFA (Charles Mobea, Baruan Muhuza)
5. Sitasahau
6. Show Time (Skyworker & Glory Robson)
7. Usiku wa Mahaba
8. Lugha Gongana (Jumaa Ahmed Baragaza)
Endelea na wewe sasa😁😁😁
Watuma Salam maarufu kipindi hicho
1. Muhiri Obaleeeee
2. Lawena Nsonda Baba mzazi - mzee wa Makongorosi Chunya
3. Jumanne Sebarua Tingisha
Nk
Watoto wa 2000 hamtaelewa
Redio zisizofaa kusikiliza ni hizi Clouds na Wasafi, hazifai kabisa.Enzi za RFA na Kiss FM unasikiliza VOA, DW na BBC. Walikuwa na propaganda zao lakini walihabarisha sana watanzania juu ya dunia. Kijana mdogo anafahamu yanayoendelea huko Mosul Iraq RFA wenyewe walikuwa na vipindi vizuri kama je wajua. Kiss kwenye burudani unasikiliza American top 40, weekeend top 30 nk nk. Millenials wa kitanzania walikuwa wana exposure ya kihabari na burudani. Kiss FM na RFA walitufungulia dunia kihalisi
Pengine zama za redio hizo na mtindo wao wa habari ukapita. Wamekuja hawa clouds.Habari kubwa ni umbea wa mjini na michezo. Wachambuzi wao wa mambo hamna kitu, ni ujanja ujanja tu wa kuzungumza. Upande wa burudani ndiyo kabisa, utasikia wale wale wabana pua.
Zamani niliamini kuwa kizazi cha mbele kina kuwa na watu werevu na walioelimika kuliko kilichopita, kumbe si kweli. Kumbe inawezekana muda ukaenda mbele lakini kizazi kikazidi kujaa ujinga na ushamba.
Hawa hawa waliomrudisha Trump White House ?Hata nusu ya kizazi cha sasa cha Wamarekani ni wajinga na washamba.