Kizazi kilichokulia RFA na Kiss FM hakina ushamba kama hiki cha Clouds

Dunia ya sasa uchaguzi wa mtindo wa maisha ni wako....

Uishi kama zitakavyo "media" ama uishi kwa uhalisia wa maisha ya dunia ,historia za nyuma na kupanga mwelekeo wa kesho......

Bibi mmoja wa kizungu alilia kwa kusema kuwa enzi zao "kijana wa kiume alikuwa havai vinguo vya kubana vya rangi ya njano na pink" ha ha ha
 
Lawena Nsonda, "Baba mzazi baba"
 
Redio zisizofaa kusikiliza ni hizi Clouds na Wasafi, hazifai kabisa.
 
Ni copy and paste ikifika saa 1 usiku wote ni habari za michezo ana Anza East Africa anafwata Wasafi anamalizia Clouds
 
Nimekumbuka sana nilikua napenda kusikiliza kiss fm. Jumamosi ulimwengu wa soka kutoka idhaa ya kiswahili "bbc" kutoka london' wanakutangazia ligi kuu ya uingereza. Ile man utd ya kipindi cha fargason.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…