Kizazi kilichozaliwa kuanzia miaka ya 1975 hadi 1995 ndicho kizazi bora zaidi kutokea

Mwanangu kibongo bongo bado sana , bado nchi yetu ipo disorganised vibaya mno , kwa hiyo bado hakuna kizazi bora, tembea uone.
Kaka ukitaka mambo ya perfect organization. Bongo utakufa njaa ndio maana vijana wenye kampuni za Tech wanakula vizuri bila kuwa na app yoyote ya maana kwa sababu wanafukuzia grants and funds za wazungu.

Hii ni kwa sababu, intellectual property ya bongo ipo very weak na hupati mkopo hadi muwe kikundi. Watu wanaona bora wajifunze kuandika propasals tu
 
Ujanja ujanja wa kijinga na tamaa binafsi pia nikikwazo cha kuifanya nchi yetu iwe ya maziwa na asali, mimi nakataa bado hakuna kizazi bora, labda tuchangamane sana humu duniani na tuache stories za eti bongo kumenoga.
 
Ujanja ujanja wa kijinga na tamaa binafsi pia nikikwazo cha kuifanya nchi yetu iwe ya maziwa na asali, mimi nakataa bado hakuna kizazi bora, labda tuchangamane sana humu duniani na tuache stories za eti bongo kumenoga.
Zitachukua decades ama centuries za kutosha huo ubinafsi kufa mkuu. Na bongo usipokuwa mbinafsi, mwizi mwizi ama mlaghai utaishia kutumika tu na watu wenye hizo tabia.

Ila kwa leo wacha tubague the bad from the worst
 
Haina shida hiyo kwasababu bado mabinti wa rika lenu wanakimbilia kwetu na huwaambii kitu.. hiyo yote inatokana na UJINGA wa kizazi chenu cha kushindwa kutafuta pesa na uvumilivu .
Wajinga ndio nyie hamjiheshimu kbsaa, watu mshajizeekea bado mnataka mabinti Rika la watoto wenu? Nani awaheshimu?
 
Na hiki ndio kizazi Cha ovyo kbsaa kuwahi kutokeaa, kinawaza ushirikina tu. Angalia kesi zote zinazoripotiwa polisi hizo za utekaji,ujambazi n.k watuhumiwa wengi huwa ni wa miaka hiyo ya 1975-1995.
Kizazi hakijiheshimu kbsaa mnatembea na watoto wadogo Rika la watoto wenu hamna hata aibu.
Kizazi Cha 1975-1980 huna hata nyumba saa unajisifia Nini?
Kizazi Cha 1975-1980 watoto wenu si ndio hao wa 2000-2025? Kwanini mnashindwa kuwalea kwenye maadili mazuri? Wazee wapuuzi Sana nyie.
 
Kila kizazi cha awali huwa kinaona kizazi kilichopo kimepotoka. Imekuwa hivyo kwa wakati wote. Lakini hiki kizazi cha sasa kwa kweli nadhani ...
 
Zitachukua decades ama centuries za kutosha huo ubinafsi kufa mkuu. Na bongo usipokuwa mbinafsi, mwizi mwizi ama mlaghai utaishia kutumika tu na watu wenye hizo tabia.

Ila kwa leo wacha tubague the bad from the worst
Mimi naona njia nzuri nitutoke kwa wingi tukaibe maarifa then tuje tuyalete kwetu .
 
Mtu wa 75 ana miaka 50 sasa. Hii si miaka michache duniani. Uzee umeshabisha hodi. Maisha ni ubatili.
 
Kizazi cha 1975-1995 hakukuruhusu Nyerere atawale, kumbuka kipindi kizazi hiki.kinaingia duniani ndipo Nyerere nae akaona hakuna haja ya kuendelea, '85 akang'atuka.

Kizazi bora kabisa, naweza kusema 1975-1990. Kinashuhudia mabadiliko makubwa ya dunia, innovation nyingi zimefanyika kipindi hiki, digitalisation, matumizi ya modern technology kizazi hiki kinahusika.

Bahati mbaya sana, kizazi hiki kimezaa kizazi cha hovyo kuwahi kutokea duniani, kizazi cha 2000.
 
Hii imekaa kiutafiti sana. Nakubaliana.🤝
 
Swala la kizazi bora ni swala subjective,namaanisha inategemea unautazama ubora huo kwa maono yapi au mtazamo upi au malezi gani uliyokulia.Nafikiri hapa tufanye upembuzi yakinifu (Analysis)ya ubora na mapungufu ya vizazi vitatu ulivyoviainisha ili baadaye tukubaliane ni yapi kila kizazi kiyaige au kiyapuuze na pia yapi yawe sehemu ya kimuundo ya malezi ambayo kila mmoja wetu atayatumia kulelea wanae au wajukuu zake au vitukuu vyake.Pia kama taifa tuzichukue nukuu hizi kufanya tafiti,kufanyia uandishi wa vitabu na kufundishia mashuleni.Wakoloni wetu wanatuzidi kwa sababu mijadala kama hii huichukulia serious na kufanya tafiti amnazo baadaye huzitumia kujirekebisha na pia kama nyenzo za kuendelea kututawala halafu wanabaki juu na baadhi yetu tunabaki kuwatukuza na kuona wanaakili sanaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…