Kizazi kilichozaliwa kuanzia miaka ya 1975 hadi 1995 ndicho kizazi bora zaidi kutokea

Kizazi kilichozaliwa kuanzia miaka ya 1975 hadi 1995 ndicho kizazi bora zaidi kutokea

Mwanangu kibongo bongo bado sana , bado nchi yetu ipo disorganised vibaya mno , kwa hiyo bado hakuna kizazi bora, tembea uone.
Kaka ukitaka mambo ya perfect organization. Bongo utakufa njaa ndio maana vijana wenye kampuni za Tech wanakula vizuri bila kuwa na app yoyote ya maana kwa sababu wanafukuzia grants and funds za wazungu.

Hii ni kwa sababu, intellectual property ya bongo ipo very weak na hupati mkopo hadi muwe kikundi. Watu wanaona bora wajifunze kuandika propasals tu
 
Kaka ukitaka mambo ya perfect organization. Bongo utakufa njaa ndio maana vijana wenye kampuni za Tech wanakula vizuri bila kuwa na app yoyote ya maana kwa sababu wanafukuzia grants and funds za wazungu.

Hii ni kwa sababu, intellectual property ya bongo ipo very weak na hupati mkopo hadi muwe kikundi. Watu wanaona bora wajifunze kuandika propasals tu
Ujanja ujanja wa kijinga na tamaa binafsi pia nikikwazo cha kuifanya nchi yetu iwe ya maziwa na asali, mimi nakataa bado hakuna kizazi bora, labda tuchangamane sana humu duniani na tuache stories za eti bongo kumenoga.
 
Ujanja ujanja wa kijinga na tamaa binafsi pia nikikwazo cha kuifanya nchi yetu iwe ya maziwa na asali, mimi nakataa bado hakuna kizazi bora, labda tuchangamane sana humu duniani na tuache stories za eti bongo kumenoga.
Zitachukua decades ama centuries za kutosha huo ubinafsi kufa mkuu. Na bongo usipokuwa mbinafsi, mwizi mwizi ama mlaghai utaishia kutumika tu na watu wenye hizo tabia.

Ila kwa leo wacha tubague the bad from the worst
 
Haina shida hiyo kwasababu bado mabinti wa rika lenu wanakimbilia kwetu na huwaambii kitu.. hiyo yote inatokana na UJINGA wa kizazi chenu cha kushindwa kutafuta pesa na uvumilivu .
Wajinga ndio nyie hamjiheshimu kbsaa, watu mshajizeekea bado mnataka mabinti Rika la watoto wenu? Nani awaheshimu?
 
Na hiki ndio kizazi Cha ovyo kbsaa kuwahi kutokeaa, kinawaza ushirikina tu. Angalia kesi zote zinazoripotiwa polisi hizo za utekaji,ujambazi n.k watuhumiwa wengi huwa ni wa miaka hiyo ya 1975-1995.
Kizazi hakijiheshimu kbsaa mnatembea na watoto wadogo Rika la watoto wenu hamna hata aibu.
Kizazi Cha 1975-1980 huna hata nyumba saa unajisifia Nini?
Kizazi Cha 1975-1980 watoto wenu si ndio hao wa 2000-2025? Kwanini mnashindwa kuwalea kwenye maadili mazuri? Wazee wapuuzi Sana nyie.
 
"Watu waliozaliwa kati ya mwaka 1975 na 1995 ni kizazi cha kipekee zaidi katika historia, na hii ndiyo sababu:

Walizaliwa kati ya vizazi viwili: kimoja kabla ya mtandao wa intaneti na teknolojia kuchukua nafasi kubwa, na kingine kilichofuata baada ya hayo.

Kizazi cha kabla ya 1985 kilikuwa cha kizamani, kikiamini katika kazi ngumu na thabiti, wakati kizazi kilichofuata kinaamini katika kufanya kazi kwa akili zaidi.

Kizazi hiki kimepitia yote: redio, televisheni, Mario Bros, Nokia, kanda za kaseti, VHS, DVD, Nintendo, PS4, maduka ya video, Netflix, Snapchat, na uhalisia wa mtandaoni (virtual reality).

Hiki ni kizazi kinachojua mila na desturi, lakini pia huhoji na kutoa maamuzi kwa kuzingatia mantiki. Kizazi kilichopita hakikuhoji, na kizazi kijacho hakijui mila na desturi.

Kikiwa daraja kati ya enzi ya viwanda na enzi ya mtandao, kizazi hiki kinaelewa pande zote mbili kwa uzoefu. Kizazi hiki kinapaswa kuwa kinachoongoza kila kitu. Kizazi cha zamani hakielewi kinachoendelea sasa, na kizazi kijacho hakijui asili ya kile walichonacho."
Kila kizazi cha awali huwa kinaona kizazi kilichopo kimepotoka. Imekuwa hivyo kwa wakati wote. Lakini hiki kizazi cha sasa kwa kweli nadhani ...
 
Zitachukua decades ama centuries za kutosha huo ubinafsi kufa mkuu. Na bongo usipokuwa mbinafsi, mwizi mwizi ama mlaghai utaishia kutumika tu na watu wenye hizo tabia.

Ila kwa leo wacha tubague the bad from the worst
Mimi naona njia nzuri nitutoke kwa wingi tukaibe maarifa then tuje tuyalete kwetu .
 
Mtu wa 75 ana miaka 50 sasa. Hii si miaka michache duniani. Uzee umeshabisha hodi. Maisha ni ubatili.
 
Kizazi ambacho kimeruhusu Nyerere atawale miaka 24 kwa ubinafsi wao,kizazi ambacho kimeruhusu Tanu na Asp kiungane kutengeneza upumbavu huu wa CCM, kizazi cha wala rushwa,Kizazi cha vijana machawa akina musiba,makonda,mwijaku,baba levo na machawa wengine,kizazi ambacho hakikufanya chochote cha maana zaidi ya kurithi miundombinu ya wakoloni! Kizazi cha kipumbavu hicho
Kizazi cha 1975-1995 hakukuruhusu Nyerere atawale, kumbuka kipindi kizazi hiki.kinaingia duniani ndipo Nyerere nae akaona hakuna haja ya kuendelea, '85 akang'atuka.

Kizazi bora kabisa, naweza kusema 1975-1990. Kinashuhudia mabadiliko makubwa ya dunia, innovation nyingi zimefanyika kipindi hiki, digitalisation, matumizi ya modern technology kizazi hiki kinahusika.

Bahati mbaya sana, kizazi hiki kimezaa kizazi cha hovyo kuwahi kutokea duniani, kizazi cha 2000.
 
"Watu waliozaliwa kati ya mwaka 1975 na 1995 ni kizazi cha kipekee zaidi katika historia, na hii ndiyo sababu:

Walizaliwa kati ya vizazi viwili: kimoja kabla ya mtandao wa intaneti na teknolojia kuchukua nafasi kubwa, na kingine kilichofuata baada ya hayo.

Kizazi cha kabla ya 1985 kilikuwa cha kizamani, kikiamini katika kazi ngumu na thabiti, wakati kizazi kilichofuata kinaamini katika kufanya kazi kwa akili zaidi.

Kizazi hiki kimepitia yote: redio, televisheni, Mario Bros, Nokia, kanda za kaseti, VHS, DVD, Nintendo, PS4, maduka ya video, Netflix, Snapchat, na uhalisia wa mtandaoni (virtual reality).

Hiki ni kizazi kinachojua mila na desturi, lakini pia huhoji na kutoa maamuzi kwa kuzingatia mantiki. Kizazi kilichopita hakikuhoji, na kizazi kijacho hakijui mila na desturi.

Kikiwa daraja kati ya enzi ya viwanda na enzi ya mtandao, kizazi hiki kinaelewa pande zote mbili kwa uzoefu. Kizazi hiki kinapaswa kuwa kinachoongoza kila kitu. Kizazi cha zamani hakielewi kinachoendelea sasa, na kizazi kijacho hakijui asili ya kile walichonacho."
Hii imekaa kiutafiti sana. Nakubaliana.🤝
 
"Watu waliozaliwa kati ya mwaka 1975 na 1995 ni kizazi cha kipekee zaidi katika historia, na hii ndiyo sababu:

Walizaliwa kati ya vizazi viwili: kimoja kabla ya mtandao wa intaneti na teknolojia kuchukua nafasi kubwa, na kingine kilichofuata baada ya hayo.

Kizazi cha kabla ya 1985 kilikuwa cha kizamani, kikiamini katika kazi ngumu na thabiti, wakati kizazi kilichofuata kinaamini katika kufanya kazi kwa akili zaidi.

Kizazi hiki kimepitia yote: redio, televisheni, Mario Bros, Nokia, kanda za kaseti, VHS, DVD, Nintendo, PS4, maduka ya video, Netflix, Snapchat, na uhalisia wa mtandaoni (virtual reality).

Hiki ni kizazi kinachojua mila na desturi, lakini pia huhoji na kutoa maamuzi kwa kuzingatia mantiki. Kizazi kilichopita hakikuhoji, na kizazi kijacho hakijui mila na desturi.

Kikiwa daraja kati ya enzi ya viwanda na enzi ya mtandao, kizazi hiki kinaelewa pande zote mbili kwa uzoefu. Kizazi hiki kinapaswa kuwa kinachoongoza kila kitu. Kizazi cha zamani hakielewi kinachoendelea sasa, na kizazi kijacho hakijui asili ya kile walichonacho."
Swala la kizazi bora ni swala subjective,namaanisha inategemea unautazama ubora huo kwa maono yapi au mtazamo upi au malezi gani uliyokulia.Nafikiri hapa tufanye upembuzi yakinifu (Analysis)ya ubora na mapungufu ya vizazi vitatu ulivyoviainisha ili baadaye tukubaliane ni yapi kila kizazi kiyaige au kiyapuuze na pia yapi yawe sehemu ya kimuundo ya malezi ambayo kila mmoja wetu atayatumia kulelea wanae au wajukuu zake au vitukuu vyake.Pia kama taifa tuzichukue nukuu hizi kufanya tafiti,kufanyia uandishi wa vitabu na kufundishia mashuleni.Wakoloni wetu wanatuzidi kwa sababu mijadala kama hii huichukulia serious na kufanya tafiti amnazo baadaye huzitumia kujirekebisha na pia kama nyenzo za kuendelea kututawala halafu wanabaki juu na baadhi yetu tunabaki kuwatukuza na kuona wanaakili sanaaa.
 
Back
Top Bottom