Kizimkazi Festival ilifana haswa, Inshallah tukutane 2025!

1. Tuwe wakweli, Tamasha la Kizimkazi lilifana haswa. Wasanii kama wote, burudani ndo usiseme. Kwa sasa Kizimkazi Festival ndio Tamasha kubwa Afrika.

2. Hakika Dunia imeona ukarimu wa Wazanzibari. Inshallah tukutane 2025.
Mauzinde walikuepo wa kutosha mana huku uchumi wa mbele mali ya serikali...mauzinde kila familia wapo ndio mana ulawiti huko humalizwa kwa sheha
 
1. Tuwe wakweli, Tamasha la Kizimkazi lilifana haswa. Wasanii kama wote, burudani ndo usiseme. Kwa sasa Kizimkazi Festival ndio Tamasha kubwa Afrika.

2. Hakika Dunia imeona ukarimu wa Wazanzibari. Inshallah tukutane 2025.

..imefanikiwa kwasababu chura yuko Ikulu.

..chura akiondoka Ikulu hutasikia habari za kizimkazi.
 
Kuanzia 2025 hicho kituko kitajifia maana mrija wa kufuja pesa za Tanganyika utakuwa umekatwa
 
Watanganyika walisaidia kulinogesha bila hao ingekuwa umitashumita
Muungano udumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…