Kizungumkuti cha ndoa!

Jamani mimi sikatai kuwa wanaume ni viongozi wa familia ,tatizo wengi ni wabinafsi saana na wanafanya maamuzi mabaya na yenye madhara kwa famia ,kwa mfano mimi niliolewa na mume tulieanza nae maisha kwa pamoja hatuna chochote baada ya kuchanganya mshahara wangu na wake tukafanya maendeleo mengi na tulipata watoto pia,baada ya miaka kumi mwenzangu akampenda mwanamke mwengine na kwa bahati mbaya au nzuri ndoa yetu ikavunjika na akanipa miezi miwili nitoke kwenye nyumba tuliyojenga ,kwa kweli sikukubali na ukawa ugomvi mkubwa wa kugombea mali na watoto ,je cantalisa upo hapo?
NAWASHAURI WANAWAKE MSIJIBWETEKE NA MUSIWAAMINI WANAUME 100% ,MALI ZAKO ZITAKUFAA WAKATI WA DHIKI USIMUACHE ACHEEZEE SHAURIANENI KWA WEMA NA AKITOA WAZO ZURI KUBALI LAKINI KUWA MAKINI NA HICHO MANACHOITA KICHWA CHA FAMILIA HATA KAMA NI MAAMUZI YA KUKUTESA NA WATOTO WAKO,BINAFSI NILIFIGHT FOR MY RIGHTS NA NASHUKURU MUNGU NILIFANIKIWA NA SIJATOKA NYUMBANI NI YY NDIE ALIEFUNGASHA ,NI MAONI TU UNAWEZA AMUA KUTIIIIII MBAKA UFIE HAPO BILA YA KICHWA CHA FAMILIA KUKUHURUMIA ,MBONA MENGI YANATOKEA KWENYE NDOA
 
:lol::lol::eyebrows: Leo full upako hadi kwenye keyboard hapa button zote zinanena kwa lugha na kumuimbia bwana mapambio
Amen,
Hakika yametimia kwa TF,kila goti litapigwa na leo umejaa upako!
Napenda kujua hii hali ni kwa muda tu au ni ya kudumu?
 
Mbona ukimkuta mwanaume na mali na mkaendeleza mahakamani mnagawana? Ila za kwake ni zake na wanae? Alaaa huu ni mfumo jike au?
 
Nimekupata AZUU,hayo kweli yapo na ndio maana kumewekwa sheri ambazo zimekusaidia ww kupata haki yako,
Ni km mwanzo hukujua ndio hivyo watu wanabadilika,kwan hata sisi wanawake huwa tunawabadilika tu,
Cha msingi ni kushirikiana na km maelewano yakishindikana ndio hivyo sheria zipo kila mtu anachukua chake!
Ila km amani ipo,mnapendana na kuheshimiana nafasi ya mume kuwa kichwa cha familia itabaki kuwepo labda ahiharibu mwenyewe!
Hivyo ndivyo ninavyoamini mie.
 
Amen,
Hakika yametimia kwa TF,kila goti litapigwa na leo umejaa upako!
Napenda kujua hii hali ni kwa muda tu au ni ya kudumu?
Lol....Hii ni ya kudumu si ya muda kama homa za vipindi, si unajua nimeanza kutafuta mke
 

...umeyaandika yote yalokuwamo kichwani mwangu,
ubarikiwe sana!
Mkuu hivi haiwezi ikatokea kuwa katika majadiliano imefikia mahali mnashindwa kukubaliana??!!! Na ikifikia hapo nini kifanyike maana kama hakuna msemaji wa mwisho kinachofuata ni ugomvi tu kila mtu akitaka analotaka yeye ndio lifanyike. I know you have been around long enough to know that sometimes it might come to this point.
 
Hebu nipe contacts tuanze michakato..........coz this is exactly what I want.
 
Huu mjadala sidhani kama utakuwa na hitimisho, malezi yetu yametuathiri sana kuhusiana na swala la umilikaji mali kwa wanawake. mitizamo ya ki-dini hususan hizi dini mbili kubwa, mila na desturi zetu, jamii nayo inasema lake juu ya jambo hilo. tumejikuta hatujui tushike lipi. mirathi ni mfano mzuri, mwanamke amenyimwa haki hiyo katika familia yake alimozaliwa, na hata kule alipoolewa.........!
 
nitakukumbuka kwenye sala zangu...maana umeelimika na naona mashost wengi hawachangii nahic kuna ka ukweli flani hapa

Wanadamu tuna kawaida ya kuogopa ukweli,hiyo ndo hali halisi!
 

Ebanaee!Hapa patam sana,hili swali zuri sana!
 

So tuache kama yalivyo au we need to do something?
 
kama ni mwanaume, unamwacha anafanya maamuzi, na kadi za benk na passwedi unampa lakini hivi vivulana vilivyojaa mjini, wala hata hukishirikishi, unakifanya kama kitoto cha kufikia kula kulala.
 

mtambuzi hili umenena, ingawa pamoja kuwa naenda nje ya mada kuna familia baba akitangulia mama na watoto imekula kwao, unless kuwe na mama imara wa kutetea haki zake
 
azuu
hili nalo neno wanaume wengi wakishachuma mali na wake zao wanawaona c mali kitu, talaka itatembea. Nadhani hii ndo inaleta ubinafsi kwa baadhi ya wanawake kuto-share mali zao, ni kujihami kuhofia siku ya siku

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…