Kizungumkuti Dowans

Kizungumkuti Dowans

Mag3, There are many links missing hence very difficult to connect the dots. Dowans is the by-product of the infamous Richmond which never existed in first palce. We have been psychologically transfered from Richmond to Dowan to save the faces of big potatoes who are well connected with Administration. The basic question mlalahoi may want to ask is, how can someone inherit the assets or liability from the vacuum.! Anyway, two days ago PM categorically rejected deliberation of Dowans in the house. The main reason is to protect the offenders who are Central committee members in majority. If the Parliament will discuss the same, then one of the conclusion could be prosecution of culprits as it was proposed in last August house.
So, Dowans is nightmare to Tanzanians unless we stand as one and show people's power. There is nothing difficult with Dowans, except that the people involved are cronies to the top authority hence every effort to fool us will be exercised not for the sake of national interest but the interest of two figures i.e a Prominent Politician cum businessman and an ''inspired' next president. Mlalahoi will have to dig down his pocket to reward the corrupt inner circle.
It is so sad.
 
"Mind is terrible thing to waste" It's true all Tanzanians are stupid like the way CCM think of us? Can we real Fight and Object to These Kind of Reckless, Abuses and Call out like this. We have to fight in Bunge and in court of justice. I am suggesting everything to be put in hold until we have new constitution to get to the bottom of this and the Truth will come out. God is in our side why rush to court now?
 
MBINU MPYA CCM KUJILIPA MARA 3 SHEA WANAYOISUBIRIA DOWANS KWA KUWAUZIA WANANCHI JOTO JINGI NA GIZA NENE KWA MAVUNO MANONO ZAIDI KARIAKOO:

Enyi wana CCM, Dowans hatuwalipi hata senti moja kutoka kwenye kodi zetu mbona hatuelewani??

Ni kero kubwa ilioje kwamba wananchi tuwashike viongozi wabadhirifu serikalini na tuhuma nzito za kutupora kwa miaka mingi kodi zetu kwa kutumiamakampuni ya kitapeli yasiojulikana wamiliki wake halafu hata bila ya jibu hilo sasa muanze kugeuza Kiswahili cha kujadilkiana na WEZI ETI KUPUNGUZIANA KIWANGO CHA FEDHA ZA WIZI WA KUWALIPA; hizi ndizo busara za wapi??

Kama hilo halitoshi, CCM hii hii bado inatuona mataahira wale wale wa miaka ya jana kwa kutuaminisha ya kwamba MTUHUMIWA WETU, NIMROD MKONO, MBUNGE MWAKILISHI WA JIMBO LA UFISADI, MFILISI WA BoT BILA UZALENDO NA MTAALAM WA KUTUFUNGISHA MIKATABA ya kuletea taifa shimanzi kila mwaka eti ndio sasa aende mahakamani kutuwakilisha katika mpango wa wizi aliouunda mwenyewe ili kwa janja za nyani tukapunguziwe kitu.

Nasema hatudanganyiki, kama AG Werema na sisi Nguvu ya Umma Jalada la Dowans tumelifunga badala yake tukutane bungeni Dodoma kwa hili ili chombo chenye mamlaka kisheria kusimamia uthibiti wa mapato na matumizi ya serikali itupe mwelekeo zaidi kwa kuzingatia kumbukumbu zilizomo ndani ya Hansard ya bunge baada ya Tume ya Mwakyembe kuwashilisha ripoti yake.

Acheni kujibaraguja hapa, kilichobakia ni sisi wananchi kutoa adhabu ya kihistoria ili ije iwe fundisho tosha kwa vyama vya kisiasa vinavyoongozwa na WALAGHAI NA MAFISADI WAKUU kama ilivyo kwa CCM. Wabunge wa CCM, kuna jambo bado wengi wenu hamjalielewa hapa; sisi wananchi hatuko kwenye mzaha na nyinyi.

Tunajua fika ni kazi gani tuliwatuma bungeni na kwamba mkienda vipi na basi iwe vipi. Katika hii kashfa na pia suala la KATIBA MPYA mchakato kuanzia bungeni sisi hesabu zetu hapo ni kwamba AMA UKO NA SISI AU UKO PAMOJA NA KAMBI YA MAFISADI ITAKAYOKUPIGIA KURA TENA HUKO MBELE YA SAFARI. Tuelewane vizuri kabisa hapo.

Naona kwenye mtego huu hata huyu ndugu tuliewahi kumuamini, Mizengo Pinda (ambaye hadi sasa kajigeuza Mtoto wa Mkulima wa Mjini) naye kajiingiza kichwa kichwa mle lakini bahati yake alishatangaza kwenda kupumzika siasa baada ya hapa, je nyinyi??

Na kwa bahati mbaya sana sana, Nguvu ya Umma uchunguzi wetu jijini umebaini kwamba kwanza mpaka sasa hivi CCM imeshajilipa zaidi ya mara 3 ya udanganyifu kwa Dowans kwa kuleta mbinu chafu hiyo hapo ya kukata umeme. Kama huamini hili hebu waulize wanamahesabu watakuambia.

Wanachokifanya CCM kwa kuzima umeme masaa mengi ni kwamba wanaenda kwa wahindi Kariakoo kila jioni kukusanya kitenesi chao kwa kutoa mwanya wa kuuza zaidi mi-jenereta feki za kichina kwa bei za juu ajabu.

Katika hii mbinu mpya ni kwamba CCM inaokoa garama ya kuendesha mitambo kibao ya umeme inayotumia mafuta / diesel lakini bado wanapata faida mara tatu zaidi kwa mkondo mwingine wa biashara haramu kwa kuwauzia tu wananchi giza na joto jingi.

Sie huku wana-Mafinga, aaka ni giza tu jeto tunalisikia tu redioni. Wananchi tukomeshe hii biashara haramu ya CCM kutuchuuzia giza na joto kali kwa mavuno manono kuliko ya Dowans kule Kariakoo.

HOJA YANGU:

Mwizi, katika arobaine yake, kakamatwa na ngozi bado muanze kujadiliana kupunguziana cha kunyonga? Je, ni busara Mtuhumiwa Nimrod Mkono, licha ya kutuingiza mkenge katika mikataba mingi chafu nchini, bado akapewa kazi yoyote nchini toka kwenye serikali tunayoilea kwa kodi zetu huyu?

 
Kenya haooooo


infopg2.jpg

kenyattafuturehk7.jpg

3360435366_9cddb98791_b.jpg

124144937_ba9c8dcfc0_b.jpg
 
Natamani kwa haraka sana kuona mwisho wa ufisadi uking'olewa na mizizi yake yote nchini na kuchomwa kabisa ndani ya tanuri la Muhimbili kama magugu sumu ili wananchi tuweze tena kupata maendeleo.

Nasema UFISADI TOKAAA!!! Viwavijeshi TOKENI wananchi tupate tena maendeleo na Uzalendo kurejea katika haki. TOKA!!
 
CHUKUA CHAKO MAPEMA (ccm) Na wameshafanya hivyo kwa miaka 50! hivi watz, hawa jamaa tunasema basi lini?????? Hawa jamaa wanamaliza nnji hii jamani! tuwawajibisheni, kama tumeshindwa 2010, basi sasa tupange mikakati ya kuwawajibisha 2015 wakati huyo bwana asiye serious anamaliza muda wake! Si Mmeona na Kusikia huko Tunisia Jamani NGUVU YA UMMA ILIVYO NA SAUTI YA MUNGU!!! Kwani nini na sisi tusindwe? au tunapenda mateso??
 
"Mind is terrible thing to waste" It's true all Tanzanians are stupid like the way CCM think of us? Can we real Fight and Object to These Kind of Reckless, Abuses and Call out like this. We have to fight in Bunge and in court of justice. I am suggesting everything to be put in hold until we have new constitution to get to the bottom of this and the Truth will come out. God is in our side why rush to court now?

well, well, well
 
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, Tz DOWANS, Hakuna lolote.
 
Kenya haooooo


infopg2.jpg

kenyattafuturehk7.jpg

3360435366_9cddb98791_b.jpg

124144937_ba9c8dcfc0_b.jpg
Aacha cha cha cha chaaaa!! Wabunge wa CCM msiniambie kujadiliana na wezi kupunguziana hapo. Hebu wenzetu angalieni tu mambo hayo wakati sisi hapa kazi yetu ni viongozi wa CCM kuiba kila kitu mpaka hata fedha tu za kuwalipa watu wakufagia tu jiji jamani.

Halafu kesho keshokutwa mtaanza kwenda kupanda ndege na kushukia Kenya, kulala huko, kula huko na huo ndio mzunguko kiuchumi kuhama kabisa waka kwetu ni kuiba kila kitu hadi na mbegu za kupanda msumu ujao wote kwisha!!

Watanzania wenzangu, ni kisirani tena ni laana kubwa mtu kuishi ndani na JAMBAZI KAMA CCM huku na wewe ukijua fika kwamba ni jambazi wa kutupwa. Afrika Mashariki tuliwatangulia Kenya kupata Uhuru sasa haya ndio mambo gani????

Jamani CCM mnaondoka lini na sisi tupate maendeleo??????????????
 
Mkuu umenena.
Msikilize Pinda akitoa msimamo inachkesha kama siyo kuhuzunisha anavyojiumauma unaona kila ishara za mtu anayedanganya. Mwisho anakupoteza hujui kasema nini. Ukwel ni kuwa tumewashika pabaya kama sirikali na chama chao ndiyo maana wanahaha wengine kuanza kujitoa kinafiki. Hatudanyiki
huyo mwoga sitaki hata kumsikia waziri mkuu ndiye mtendaji mkuu wa serikali hebu niambieni ni nini cha maana ambacho aliwahi kuamua na kukisimamia tangu awe PM,ni kipi? ni kulia kuhusu mauaji ya albino,kukataa gari ya kifahari aliyopewa baada ya gari kama hizo ambazo alikataa zinunuliwe kununuliwa,kujitangaza mali kidogo alizo nazo ahhh!
 
The only break-through kwene hizi kadhia za unyang'anyi wa waziwazi unaosimamiwa na Ikulu na vigogo wa chama na serikali, ni kwa wana-CCM wenyewe ku-strike back kuanzia kukohuko chamani..thats the only hope. Najua wanaofaidika na hizi dili huko CCM ni wachache sana na majority are unhappy with the entire situation. Sasa hawa ndio wanatakiwa wawe chachu au wachachushwe na kuwa kiini cha wimbi la mabadiliko. Hawa wanatakiwa wapewe fikra mpya kwamba individualism inaweza kubalance na part-ism, na bado ikawa essential exponent kwa national interest.

Hata mzee Mandela baada ya kuwa separated na wafungwa wenzake ndio alianza waziwazi kusapoti mazungumzo na utawala wa makaburu, ambao walipinga mazungumzo na watawala. Kama angeendelea ku-hold mtizamo wa kigrupu pamoja na wenziwe, pengine hadi leo hii makaburu bado wangekuwa wanatawala SA na yeye pengine angeshajifia gerezani kitambo sana. So ku-act individually it can be a key here, CCM kuendeleza ile dhana ya 'huyu ni mwenzetu' is no longer fruitful na wazalendo wote wanajua hili.
 
The only break-through kwene hizi kadhia za unyang'anyi wa waziwazi unaosimamiwa na Ikulu na vigogo wa chama na serikali, ni kwa wana-CCM wenyewe ku-strike back kuanzia kukohuko chamani..thats the only hope. Najua wanaofaidika na hizi dili huko CCM ni wachache sana na majority are unhappy with the entire situation. Sasa hawa ndio wanatakiwa wawe chachu au wachachushwe na kuwa kiini cha wimbi la mabadiliko. Hawa wanatakiwa wapewe fikra mpya kwamba individualism inaweza kubalance na part-ism, na bado ikawa essential exponent kwa national interest.

Hata mzee Mandela baada ya kuwa separated na wafungwa wenzake ndio alianza waziwazi kusapoti mazungumzo na utawala wa makaburu, ambao walipinga mazungumzo na watawala. Kama angeendelea ku-hold mtizamo wa kigrupu pamoja na wenziwe, pengine hadi leo hii makaburu bado wangekuwa wanatawala SA na yeye pengine angeshajifia gerezani kitambo sana. So ku-act individually it can be a key here, CCM kuendeleza ile dhana ya 'huyu ni mwenzetu' is no longer fruitful na wazalendo wote wanajua hili.

Mkuu, hiyo Avator yako ni very creative, ingawa natumaini haiwasilishi tabia yako, au?
 
CHUKUA CHAKO MAPEMA (ccm) Na wameshafanya hivyo kwa miaka 50! hivi watz, hawa jamaa tunasema basi lini?????? Hawa jamaa wanamaliza nnji hii jamani! tuwawajibisheni, kama tumeshindwa 2010, basi sasa tupange mikakati ya kuwawajibisha 2015 wakati huyo bwana asiye serious anamaliza muda wake! Si Mmeona na Kusikia huko Tunisia Jamani NGUVU YA UMMA ILIVYO NA SAUTI YA MUNGU!!! Kwani nini na sisi tusindwe? au tunapenda mateso??
MBINU MPYA CCM KUJILIPA MARA 3 SHEA WANAYOISUBIRIA DOWANS KWA KUWAUZIA WANANCHI JOTO JINGI NA GIZA NENE KWA MAVUNO MANONO ZAIDI KARIAKOO:

Jamani zaidi ya mara tatu ya hilo deni geresha CCM wameshaikusanya kwa kuleta mbinu chafu hiyo hapo ya kukata umeme. Kama huamini hili hebu waulize wanamahesabu watakuambia.

Wanachokifanya CCM kwa kuzima umeme masaa mengi ni kwamba wanaenda kwa wahindi Kariakoo kila jioni kukusanya kitenesi chao kwa kutoa mwanya wa kuuza zaidi mi-jenereta feki za kichina kwa bei za juu ajabu.

Katika hii mbinu mpya ni kwamba CCM inaokoa garama ya kuendesha mitambo kibao ya umeme inayotumia mafuta / diesel lakini bado wanapata faida mara tatu zaidi kwa mkondo mwingine wa biashara haramu kwa kuwauzia tu wananchi giza na joto jingi.

Sie huku wana-Mafinga, aaka ni giza tu jeto tunalisikia tu redioni. Wananchi tukomeshe hii biashara haramu ya CCM kutuchuuzia giza na joto kali kwa mavuno manono kuliko ya Dowans kule Kariakoo.
 
WanaJF sasa nimeshaanza kuamini kua kumbe wananchi tunailipa Dowans kwa njia ambazo nizakiutatauta? Hembu sikilizeni hii nimekwenda Tanesco kulipia LUKU yangu nikanunua umeme wa shilingi elfu 20000 chakushangaza ni kua nikapata Unit ambazo hazilingani na kiasi cha hela nilizolipa baada ya kupata mshtuko na kuuliza kulikoni nikajibiwa kua eti nilikua nina deni nadaiwa! nikauliza nadaiwa nini wakasema tukiangalia kwenye mtiririko wa malipo yako eti nadaiwa kiasi cha elfu 9000 baada ya kupiga kelele sana kumbe sikua mwenyewe kuna wenzangu kama wawili nao wakaniambia mkubwa ujue ndio tunaanza kulipa ilie kampuni isiyokua na wenyewe eti hata wao wamekatwa hela hivyo hivyo! jamani huu si wizi wanawane?
 
Jana kwenye pita pita yangu nilikutana na Mjumbe mmoja wa Bodi ya Tanesco. Katika maongezi nae nilimuulizia kuhusu suala la Dowans. Kwenye maelezo yake ni kuwa malipo ya Dowans ni halali kabisa, kwani wanacho kidai ni gharama za umeme ambao wao walizalisha na hawakuwahi kulipwa na Tanesco mpaka mkataba pale ulipo vunjwa.
Kwa maana hiyo basi, wanadai hela yao halali kabisa ambayo umeme ulizalishwa na mie na wewe tuliutumia. Sasa hapo malipo ambayo sio halali ni yepi ? au tuna nia ya kudhulumu haki za watu ?.

Na kuhusu hukumu ya mahakama ya ICC wao vitu walivyo uliza ni vichache tu, kama mitambo ipo wapi ? ilizalisha umeme au haikuzalisha ? huko nyuma walikuwa wanawalipa au hawakuwalipa? Mkataba ulivunjwa kabla ya muda ?. Majibu ya maswali yote hayo ni ndio, ndipo mahakama ikatoa huku ya Dowans kulipwa haki yao kwa kile walichotuzalishia na kukitumia.
 
Back
Top Bottom