ha hahaha susy ulivyoongea kwa msisitizo???!!!!,
Susy nina tatizo na avatar yako kila nikiiangalia NI LAZIMA machozi yanilengelenge machoni mwangu,
sa sijui kwa nini??, mbona avatar zingine zoote naangalia bila kutokea na hali hii??,
NTASHUKURU ukinipa ufafanuzi, Asante.
Hapo kwenye red hata mimi najiuliza sana kapewa nini ? isije kuwa ile kitu !!!!!!wapendwa, nimekua nikisoma sana post na coments zenu za humu JF, lakini sijawahi waza kupost Topic au coment kwa sababu ninazozijua...ila leo imenibidi niwashirikishe hili...
Jamani nina furaha.......nilikua na tatizo na mume wangu kwa takribani miaka miwili sasa. kwa kweli ni tatizo ambalo hata kulisema hapa nilishindwa.. nilishaomba ushauri sana hadi kwa wachungaji na kuombewa ila ilishindikana..kiufupi, mume wangu alikua anapenda sana kujifunua na kuacha sehemu zake nyeti wazi kwa kumuonyesha mwanamke...mara nyingine alikua hadi anawachafua watu kwenye daladala na mbegu za kiume. amini usiamini hadi vitoto vidogo vilikua vinakuja kunilalamikia kua mume wangu anawaonyesha dudu lake. ...alishawahi kupigwa kwa kumchafua dada wa watu ktk daladala ila mimi nilikuja kujua baada ya muda mrefu sana.
mwanzoni nilikua nikimuuliza anakataa lakini ilifika siku nikamfumania ndipo alipokubali na kuniambia kua asipofanya hivyo hapati hamu ya kufanya mapenzi na mimi. leo kuna muujiza umetokea kwani sidhani kama ni kawaida
kuna rafiki yangu alinipa namba ya dada mmoja..yaani nikimkumbuka nafurahi hadi machozi yanatoka, huyo dada nahisi alisoma mambo ya saikolojia. tuliongea nae akasema kua angejaribu kuongea na mume wangu. tulifanikiwa kiujanja kumpa namba yake na kumwambia asimwambie kua ni mimi nimempa...
jamani, baada ya siku tano alinambia ameshakutana na mume wangu.
aliongea nae na alikua akinambia tusubiri na niwe namfuatilia kujua maendeleo yake. ninavyoandika sasa, nina miezi miwili sijasikia kesi ya namna ile... cha ajabu leo mume wangu kanitoa lunch..(haijawahi tokea kawa miaka miwili sasa) na kikubwa alitaka kunipongeza na kunishukuru kwa kua mvumilivu kwani sasa tatizo lake limeisha. sikuamini...niliruka hadi nikamwaga soda niliyo kua nakunywa..
leo nimempigia yule dada hapatikani....daaaa natamani nitoboe simu nimpate
natamani ni jue ni dawa gani alimpa ila alinambia hatonambia chochote isipokua kwa ridhaa ya mume wangu. mume wangu nae nahisi kanificha kwani anasema hajatumia dawa yoyote. eti mimi ndo nilikua dawa.
ila ndugu zangu wana Jf....naogopa kumwambia mume wangu kua mimi ndo niliemuunganisha kwa huyo dada kwani atahisi nilikua natangaza tatizo lake. natamani sana kujua ni tatizo gani hasa hili...Mungu ni mwema.....yaani nina raha sijui hata nisemeje,...namshukuru mungu kwa kweli...hakuna lisilowezekana kwa mungu chini ya jua kwani naamini sio akili ya yule dada bali ni mungu tuu looo...dada mwenyewe ni mtoto tuuuu alafu hata hafananii...usimjaji usiyemjua ...
usiku mwema.
weeeeeeeee!!!!!!!
hata siku moja usimuapie mwanaume katika maisha yako!!wala usije ukamwamini 100%, utakufa siku si zako ndugu yangu!!! pole weeeeee.
Eti walikutana siku mbili!!! weweeeee!! ngoja nitoke kwani hata umri wako siujui!!!
Unasubutu kumwapia mwanaume!!! mwanaume!!! hivi wewe unawajua wanaume vizuri au unawasikia??????????
Kahiyo mumeo alikuwa dungadunga ? una bahati hajapigwa mawe,pole sana dunia ina siri nyingi.
weeeeeeeee!!!!!!!
hata siku moja usimuapie mwanaume katika maisha yako!!wala usije ukamwamini 100%, utakufa siku si zako ndugu yangu!!! pole weeeeee.
Eti walikutana siku mbili!!! weweeeee!! ngoja nitoke kwani hata umri wako siujui!!!
Unasubutu kumwapia mwanaume!!! mwanaume!!! hivi wewe unawajua wanaume vizuri au unawasikia??????????
Somoe..dada wa watu hakufanya hivyo kwani yeye yupo Dar na Mume wangu yupo Morogoro. aliyewezesha wakutane ni huyu dada aliyeniunganisha nae na walionana siku mbili tuu. (kwa maelezo ya mume wangu na mazingira yenyewe nina uhakika na hili) kwa hiyo hamna namna yoyote ambayo huyo dada angefanya huo ujinga.
Msh..........z wa tabia tena mkubwa mkubwa tu, nyie ndio watu mnaofitini ndoa za watu, na kuwa na wivu usio na maana. yaelekea wewe ni kati ya ile mijishangingi inayotafuta waume but imekosa. kwa nini kumkatisha tamaa mwenzio namna hiyo tena unaonyesha kabisa kufurahia kumuumiza moyo mwenzio lol, tabia mbaya sana sana.Kwani ulitaka ampe dawa gani? Ikiwa unajua kizuri unakula na mwenzio, kula na mwenzio ndio dawa yake? Tatizo limekwisha kwa sababu kampata mtu wa kumuonesha dude lake na kumwagia mbegu zake. Alafu unajua kuwa huyo dada unakula nae kile kitu kizuri, alafu unauliza jibu. Huyo rafiki yako kaona bora amsitiri mumea kwa aibu anayotia mtaani kwa kumtafutia mtu atakae muonesha na kumwagia mbegu zake, zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz, pole na samahani kama nimekukwaza
Msh..........z wa tabia tena mkubwa mkubwa tu, nyie ndio watu mnaofitini ndoa za watu, na kuwa na wivu usio na maana. yaelekea wewe ni kati ya ile mijishangingi inayotafuta waume but imekosa. kwa nini kumkatisha tamaa mwenzio namna hiyo tena unaonyesha kabisa kufurahia kumuumiza moyo mwenzio lol, tabia mbaya sana sana.
khaaa mume muonyesha ashakum khaaa,hongera kwa uvumilivu dada weye ni wa pekee!
nipo hapa namsoma mume ndungandunga halafu mnanambia niolewe wapiiiiiiiiii!mbona umeingia mitini shosti?
mmmh, somoe unalo la kujitetea hapa?
Kwanza hongera kwa uvumilivu uliouonyesha kwa mumeo kama ni kweli kwani napata mashaka kidogo na stori yako nikiwa naendelea kusoma posti zako ktk thread hii,Inaonyesha kama unatangaza biashara fulani hivi ya huduma ambayo uko mbioni kuifungua,ok sijui??????? ni mawazo tu dadam,samahan kama nimekukwaza.wapendwa, nimekua nikisoma sana post na coments zenu za humu JF, lakini sijawahi waza kupost Topic au coment kwa sababu ninazozijua...ila leo imenibidi niwashirikishe hili...
Jamani nina furaha.......nilikua na tatizo na mume wangu kwa takribani miaka miwili sasa. kwa kweli ni tatizo ambalo hata kulisema hapa nilishindwa.. nilishaomba ushauri sana hadi kwa wachungaji na kuombewa ila ilishindikana..kiufupi, mume wangu alikua anapenda sana kujifunua na kuacha sehemu zake nyeti wazi kwa kumuonyesha mwanamke...mara nyingine alikua hadi anawachafua watu kwenye daladala na mbegu za kiume. amini usiamini hadi vitoto vidogo vilikua vinakuja kunilalamikia kua mume wangu anawaonyesha dudu lake. ...alishawahi kupigwa kwa kumchafua dada wa watu ktk daladala ila mimi nilikuja kujua baada ya muda mrefu sana.
mwanzoni nilikua nikimuuliza anakataa lakini ilifika siku nikamfumania ndipo alipokubali na kuniambia kua asipofanya hivyo hapati hamu ya kufanya mapenzi na mimi. leo kuna muujiza umetokea kwani sidhani kama ni kawaida
kuna rafiki yangu alinipa namba ya dada mmoja..yaani nikimkumbuka nafurahi hadi machozi yanatoka, huyo dada nahisi alisoma mambo ya saikolojia. tuliongea nae akasema kua angejaribu kuongea na mume wangu. tulifanikiwa kiujanja kumpa namba yake na kumwambia asimwambie kua ni mimi nimempa...
jamani, baada ya siku tano alinambia ameshakutana na mume wangu.
aliongea nae na alikua akinambia tusubiri na niwe namfuatilia kujua maendeleo yake. ninavyoandika sasa, nina miezi miwili sijasikia kesi ya namna ile... cha ajabu leo mume wangu kanitoa lunch..(haijawahi tokea kawa miaka miwili sasa) na kikubwa alitaka kunipongeza na kunishukuru kwa kua mvumilivu kwani sasa tatizo lake limeisha. sikuamini...niliruka hadi nikamwaga soda niliyo kua nakunywa..
leo nimempigia yule dada hapatikani....daaaa natamani nitoboe simu nimpate
natamani ni jue ni dawa gani alimpa ila alinambia hatonambia chochote isipokua kwa ridhaa ya mume wangu. mume wangu nae nahisi kanificha kwani anasema hajatumia dawa yoyote. eti mimi ndo nilikua dawa.
ila ndugu zangu wana Jf....naogopa kumwambia mume wangu kua mimi ndo niliemuunganisha kwa huyo dada kwani atahisi nilikua natangaza tatizo lake. natamani sana kujua ni tatizo gani hasa hili...Mungu ni mwema.....yaani nina raha sijui hata nisemeje,...namshukuru mungu kwa kweli...hakuna lisilowezekana kwa mungu chini ya jua kwani naamini sio akili ya yule dada bali ni mungu tuu looo...dada mwenyewe ni mtoto tuuuu alafu hata hafananii...usimjaji usiyemjua ...
usiku mwema.