Kizuri kula na mwenzio!!!! itakufaa na wewe.

Kizuri kula na mwenzio!!!! itakufaa na wewe.

Jamani enjoy the time God has blessed u with........forget whatever happened and stop going into the root of the problem, rem that He had a problem now you are blessed that the problem is gone so ENJOY THE MOMENT, LEARN HOW TO THANK THE BLESSINGS OF LORD......
 
ha hahaha susy ulivyoongea kwa msisitizo???!!!!,

Susy nina tatizo na avatar yako kila nikiiangalia NI LAZIMA machozi yanilengelenge machoni mwangu,
sa sijui kwa nini??, mbona avatar zingine zoote naangalia bila kutokea na hali hii??,

NTASHUKURU ukinipa ufafanuzi, Asante.

Mimi si daktari, ila kwa uzoefu wangu hata kwangu mimi mwenyewe, ukimuangalia mtu anayelia na wewe unajikuta unalia, hata kwenye misiba unadhani wote wanaolia wanamlilia aliyekufa?hapana, bali wengi ni kwa sababu ya kuona watu wanalia kwa uchungu na kuomboleza basi na wewe unajikuta unahuzunika hata kama aliyekufa humfahamu hata kidogo. Hii imeshanitokea hata mimi si mara moja wala mbili, sijui kwa wenzangu!!!!!!!
 
wapendwa, nimekua nikisoma sana post na coments zenu za humu JF, lakini sijawahi waza kupost Topic au coment kwa sababu ninazozijua...ila leo imenibidi niwashirikishe hili...
Jamani nina furaha.......nilikua na tatizo na mume wangu kwa takribani miaka miwili sasa. kwa kweli ni tatizo ambalo hata kulisema hapa nilishindwa.. nilishaomba ushauri sana hadi kwa wachungaji na kuombewa ila ilishindikana..kiufupi, mume wangu alikua anapenda sana kujifunua na kuacha sehemu zake nyeti wazi kwa kumuonyesha mwanamke...mara nyingine alikua hadi anawachafua watu kwenye daladala na mbegu za kiume. amini usiamini hadi vitoto vidogo vilikua vinakuja kunilalamikia kua mume wangu anawaonyesha dudu lake. ...alishawahi kupigwa kwa kumchafua dada wa watu ktk daladala ila mimi nilikuja kujua baada ya muda mrefu sana.

mwanzoni nilikua nikimuuliza anakataa lakini ilifika siku nikamfumania ndipo alipokubali na kuniambia kua asipofanya hivyo hapati hamu ya kufanya mapenzi na mimi. leo kuna muujiza umetokea kwani sidhani kama ni kawaida

kuna rafiki yangu alinipa namba ya dada mmoja..yaani nikimkumbuka nafurahi hadi machozi yanatoka, huyo dada nahisi alisoma mambo ya saikolojia. tuliongea nae akasema kua angejaribu kuongea na mume wangu. tulifanikiwa kiujanja kumpa namba yake na kumwambia asimwambie kua ni mimi nimempa...
jamani, baada ya siku tano alinambia ameshakutana na mume wangu.

aliongea nae na alikua akinambia tusubiri na niwe namfuatilia kujua maendeleo yake. ninavyoandika sasa, nina miezi miwili sijasikia kesi ya namna ile... cha ajabu leo mume wangu kanitoa lunch..(haijawahi tokea kawa miaka miwili sasa) na kikubwa alitaka kunipongeza na kunishukuru kwa kua mvumilivu kwani sasa tatizo lake limeisha. sikuamini...niliruka hadi nikamwaga soda niliyo kua nakunywa..
leo nimempigia yule dada hapatikani....daaaa natamani nitoboe simu nimpate
natamani ni jue ni dawa gani alimpa ila alinambia hatonambia chochote isipokua kwa ridhaa ya mume wangu. mume wangu nae nahisi kanificha kwani anasema hajatumia dawa yoyote. eti mimi ndo nilikua dawa.
ila ndugu zangu wana Jf....naogopa kumwambia mume wangu kua mimi ndo niliemuunganisha kwa huyo dada kwani atahisi nilikua natangaza tatizo lake. natamani sana kujua ni tatizo gani hasa hili...Mungu ni mwema.....yaani nina raha sijui hata nisemeje,...namshukuru mungu kwa kweli...hakuna lisilowezekana kwa mungu chini ya jua kwani naamini sio akili ya yule dada bali ni mungu tuu looo...dada mwenyewe ni mtoto tuuuu alafu hata hafananii...usimjaji usiyemjua ...
usiku mwema.
Hapo kwenye red hata mimi najiuliza sana kapewa nini ? isije kuwa ile kitu !!!!!!

 
weeeeeeeee!!!!!!!

hata siku moja usimuapie mwanaume katika maisha yako!!wala usije ukamwamini 100%, utakufa siku si zako ndugu yangu!!! pole weeeeee.

Eti walikutana siku mbili!!! weweeeee!! ngoja nitoke kwani hata umri wako siujui!!!

Unasubutu kumwapia mwanaume!!! mwanaume!!! hivi wewe unawajua wanaume vizuri au unawasikia??????????

Duh, susy! hutuamini kiasi hicho? tu,mekufanya nini sisi?
 
dadam pole na hongera kwa uvumilivu wako!Mumeo alikuwa na matatizo ya kisaikolojia,hasa ya kutoridhika.Kwa hiyo jitahidi kumpa vitu ki-ufundi sana hilo apple na umpikie misosi inayorutubisha na kuongeza mbegu za kiume ili awe na hamu ya kufanya mapenzi,si anatafuta ham si kwa kudunga wengine.Vyakula hivyo ni mdalasini+asali,karanga mbichi,maziwa fresh na soya hata ikibidi pweza hasa supu yake.Fanya hivyo utaona atavyotafuna apple hadi kokwa la ndani hatalitupa.
Pia endelea kuwa soap soap na uwe mpole na sexy ili aache tamaa,awekeze akili zake kwako.

LA MSINGI JITUME ARIDHIKE ILI KUEPUKA HIYO TABIA ISIJIRUDIE.


nunua tv kwako ili mtoto asiende kuangalia tv kwa jirani.
 
asanteni wapendwa kwa maoni yenu....leo nilimpigia yule dada kumweleza hali halisi. alinitoa wasiwasi na kuniambia kua anasajili kampuni kwa ajili ya kutoa ushauri wa kisaikolojia chini ya wizara ya afya na sasa yupo katika hatua za mwisho kabisa. kaniambia kama nina wasiwasi na kazi yake niende Dar ataniridhisha kwa vidhibitisho vya utaalam wa kazi yake. aliniambia ni elimu ya kawaida na akanambia niangalie kwenye mtandao kitu kinachoitwa Sexual disorders...nimeangalia na tatizo alilokua nalo mume wangu ni sexual disorder inayoitwa EXihibitionism na pedophilia. unaweza kuangalia pia
 
weeeeeeeee!!!!!!!

hata siku moja usimuapie mwanaume katika maisha yako!!wala usije ukamwamini 100%, utakufa siku si zako ndugu yangu!!! pole weeeeee.

Eti walikutana siku mbili!!! weweeeee!! ngoja nitoke kwani hata umri wako siujui!!!

Unasubutu kumwapia mwanaume!!! mwanaume!!! hivi wewe unawajua wanaume vizuri au unawasikia??????????

wanawake wanatofauti gani?hahahaha
 
Somoe..dada wa watu hakufanya hivyo kwani yeye yupo Dar na Mume wangu yupo Morogoro. aliyewezesha wakutane ni huyu dada aliyeniunganisha nae na walionana siku mbili tuu. (kwa maelezo ya mume wangu na mazingira yenyewe nina uhakika na hili) kwa hiyo hamna namna yoyote ambayo huyo dada angefanya huo ujinga.


sawa nakutakia kila la heri kwa kufanikiwa kutatua tatizo. Hila kusema eti mtu wa morogoro na wa dar hawawezi kuwasiliana kila siku mmmmmm sio kweli....................
au kukutana siku mbili tu ndio hawezi kukutana nae tena mmmmmmmmmmmm sio kweli.............. Kuwa makini dada na mumeo na hiyo tiba aliokutaftia rafiki yako.

Mie najiuliza kwanini alikutaftia saikolog wa kike na sio wa kiume? Na inakuwaje awe wa kiolela na wa kupeana peana?


Sio kama nakutisha, ila nakumbuka kuna rafiki yangu alilaghaiwa na marafiki zake hivo hivo, walijifanya wema wanamsaidia. Yeye alikuwa aelewani na mumewe, akashauri hivo hivo, tatizo lilisha ila mwisho yaliotokea mmmmmmmmmm yaliumiza kila mtu. Ningekuwa mie ningefuatilia zaidi tiba gani kapewa na kinachoendelea, sababu tatizo la kisaikologia haliishi haraka haraka, treatment inaendelea tu hapo, kuwa makini sist
 
Bado cjajua kama tatizo umelisema ama la kwani nimepata ukakasi kwenye bolded words hapo.
nb. jf ni mahali pa kujimwaga,bora usiwe mnafiki etc. karibu jf na pole kwa yaliyokusibu.
 
Kwani ulitaka ampe dawa gani? Ikiwa unajua kizuri unakula na mwenzio, kula na mwenzio ndio dawa yake? Tatizo limekwisha kwa sababu kampata mtu wa kumuonesha dude lake na kumwagia mbegu zake. Alafu unajua kuwa huyo dada unakula nae kile kitu kizuri, alafu unauliza jibu. Huyo rafiki yako kaona bora amsitiri mumea kwa aibu anayotia mtaani kwa kumtafutia mtu atakae muonesha na kumwagia mbegu zake, zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz, pole na samahani kama nimekukwaza
Msh..........z wa tabia tena mkubwa mkubwa tu, nyie ndio watu mnaofitini ndoa za watu, na kuwa na wivu usio na maana. yaelekea wewe ni kati ya ile mijishangingi inayotafuta waume but imekosa. kwa nini kumkatisha tamaa mwenzio namna hiyo tena unaonyesha kabisa kufurahia kumuumiza moyo mwenzio lol, tabia mbaya sana sana.
 
Msh..........z wa tabia tena mkubwa mkubwa tu, nyie ndio watu mnaofitini ndoa za watu, na kuwa na wivu usio na maana. yaelekea wewe ni kati ya ile mijishangingi inayotafuta waume but imekosa. kwa nini kumkatisha tamaa mwenzio namna hiyo tena unaonyesha kabisa kufurahia kumuumiza moyo mwenzio lol, tabia mbaya sana sana.



mmmh, somoe unalo la kujitetea hapa?
 
Hongera kwa uvumilivu na umshukuru Mungu kwa huo muujiza.
 
khaaa mume muonyesha ashakum khaaa,hongera kwa uvumilivu dada weye ni wa pekee!
 
mmmh, somoe unalo la kujitetea hapa?

Sina la kujitetea kwa hili, naona nae ni mmoja ya wenye matatizo ya kisaikologia na wanaitaji tiba ya kumwagia mbegu zao watu, ili waokoe ndoa zao:A S 465::A S 465::A S 465:
 
wapendwa, nimekua nikisoma sana post na coments zenu za humu JF, lakini sijawahi waza kupost Topic au coment kwa sababu ninazozijua...ila leo imenibidi niwashirikishe hili...
Jamani nina furaha.......nilikua na tatizo na mume wangu kwa takribani miaka miwili sasa. kwa kweli ni tatizo ambalo hata kulisema hapa nilishindwa.. nilishaomba ushauri sana hadi kwa wachungaji na kuombewa ila ilishindikana..kiufupi, mume wangu alikua anapenda sana kujifunua na kuacha sehemu zake nyeti wazi kwa kumuonyesha mwanamke...mara nyingine alikua hadi anawachafua watu kwenye daladala na mbegu za kiume. amini usiamini hadi vitoto vidogo vilikua vinakuja kunilalamikia kua mume wangu anawaonyesha dudu lake. ...alishawahi kupigwa kwa kumchafua dada wa watu ktk daladala ila mimi nilikuja kujua baada ya muda mrefu sana.

mwanzoni nilikua nikimuuliza anakataa lakini ilifika siku nikamfumania ndipo alipokubali na kuniambia kua asipofanya hivyo hapati hamu ya kufanya mapenzi na mimi. leo kuna muujiza umetokea kwani sidhani kama ni kawaida

kuna rafiki yangu alinipa namba ya dada mmoja..yaani nikimkumbuka nafurahi hadi machozi yanatoka, huyo dada nahisi alisoma mambo ya saikolojia. tuliongea nae akasema kua angejaribu kuongea na mume wangu. tulifanikiwa kiujanja kumpa namba yake na kumwambia asimwambie kua ni mimi nimempa...
jamani, baada ya siku tano alinambia ameshakutana na mume wangu.

aliongea nae na alikua akinambia tusubiri na niwe namfuatilia kujua maendeleo yake. ninavyoandika sasa, nina miezi miwili sijasikia kesi ya namna ile... cha ajabu leo mume wangu kanitoa lunch..(haijawahi tokea kawa miaka miwili sasa) na kikubwa alitaka kunipongeza na kunishukuru kwa kua mvumilivu kwani sasa tatizo lake limeisha. sikuamini...niliruka hadi nikamwaga soda niliyo kua nakunywa..
leo nimempigia yule dada hapatikani....daaaa natamani nitoboe simu nimpate
natamani ni jue ni dawa gani alimpa ila alinambia hatonambia chochote isipokua kwa ridhaa ya mume wangu. mume wangu nae nahisi kanificha kwani anasema hajatumia dawa yoyote. eti mimi ndo nilikua dawa.
ila ndugu zangu wana Jf....naogopa kumwambia mume wangu kua mimi ndo niliemuunganisha kwa huyo dada kwani atahisi nilikua natangaza tatizo lake. natamani sana kujua ni tatizo gani hasa hili...Mungu ni mwema.....yaani nina raha sijui hata nisemeje,...namshukuru mungu kwa kweli...hakuna lisilowezekana kwa mungu chini ya jua kwani naamini sio akili ya yule dada bali ni mungu tuu looo...dada mwenyewe ni mtoto tuuuu alafu hata hafananii...usimjaji usiyemjua ...
usiku mwema.
Kwanza hongera kwa uvumilivu uliouonyesha kwa mumeo kama ni kweli kwani napata mashaka kidogo na stori yako nikiwa naendelea kusoma posti zako ktk thread hii,Inaonyesha kama unatangaza biashara fulani hivi ya huduma ambayo uko mbioni kuifungua,ok sijui??????? ni mawazo tu dadam,samahan kama nimekukwaza.
 
Wanawake tuige mfano wa dadam, hivi ingekuwa wale walalamaji ooh mume kafanya hivi ooh hivi, angekuwa na huyu ungesemaje? Jamani nyumba zina mambo mengi sana, ila tushukuru kwa yote.

Dada pole sana kwa yote yalitokea, uwe na moho wa ushujaa, pambana kutetea chako, wanaume ni wale wale, hata wanawake ni wale wale. Ukimwacha mumeo leo usitegemee utapata mume mzuri, sana utapata kiboko ya njia, utaachika mara ngapi? Tujifunze kutoka kwa huyu dada.Kulalamika kuwe kudogo.

Jamani msamalia mwema naomba anifundiishe jinsi ya kupost thread mwenzenu kihiyo sijui, nitaishia kuchangia za wenzangu zangu kuweka NGUMU, ebu mmoja ajitolee ani PM. Asanteni
 
Back
Top Bottom