Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Wakuu mnaendeleaje na facebook ads
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wabongo wanapiga dollar 7k monthlyTafadhali hii post ililenga watu wanaojua issues za apps tu. si kila post inahusu kila mtu. sijui kufundisha,so naomba msinisumbue inbox na maswali ambayo sina nafasi ya kuyajibu. Nafikiri mkigoogle au humu JF mtaelewa how admob work au facebook ads.
Nililenga kueklezea kuwa hivi baada ya k=google kuonekana kama scam hivi.mtu unatengeneza dollar elf 7 baadaye wanasepa nayo two days before hujatoa ndipo nikaja na suluhisho kuwa facebook ads ni nzuri kuliko hiyo google.
kila mweze fb account anaweza conect app yake akapata ads.
thanks
kitu kizuriKuna wabongo wanapiga dollar 7k monthly
?kitu kizuri
Nimefurahi kuona wabongo wanapiga mpaka $7K kwa mwezi. Mi bado niko na adsense 3 years qfter verification niko na $12.5 bado (ila sijaikatia tamaa)