Tafadhali hii post ililenga watu wanaojua issues za apps tu. si kila post inahusu kila mtu. sijui kufundisha,so naomba msinisumbue inbox na maswali ambayo sina nafasi ya kuyajibu. Nafikiri mkigoogle au humu JF mtaelewa how admob work au facebook ads.
Nililenga kueklezea kuwa hivi baada ya k=google kuonekana kama scam hivi.mtu unatengeneza dollar elf 7 baadaye wanasepa nayo two days before hujatoa ndipo nikaja na suluhisho kuwa facebook ads ni nzuri kuliko hiyo google.
kila mweze fb account anaweza conect app yake akapata ads.
thanks