Kizza Besigye, mkosoaji maarufu wa Rais Museveni atekwa akiwa Nairobi, Kenya, Mkewe atoa tamko!

Lisu ana Mungu wake asiyelala, ndiyo maana hata jaribio la mshenzi jiwe la kutaka kumuua kwa kummiminia risasi lilishindwa. Makonda aliyetumwa kumuua Lisu ndiye aliyeaibika
Nyumbu kuelimika ni ngumu sana
 
Nyumbu kama wewe kuelimika ni ngumu sana
 
Hela zao za kufanyia vurugu wanapokelea Nairobi, halafu wanaziingiza kwa njia za Panya, Lissu anazileta Tanzania, Byesigye Uganda. Maranja anatumika sana katika hili, na ndio linamuweka mjini wakati biashara yake ni kuu za makava ya simu tu
 
Sasa unafikr yule.mzee alikua na akili alitumia nguvu nyingi kuwa prove wrong na kushindana watesi wake
 
MTAKATIFU MAGUFULI...............walio kwenye hizo trouble tunawaona...
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…