KKKT Dayosisi ya Pwani, pesa za miti mlizochangisha ziko wapi?

KKKT Dayosisi ya Pwani, pesa za miti mlizochangisha ziko wapi?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Hii Dayosisi ina makando kando mengi sana, walichangisha pesa kwa ajili la kupanda miti ekali zaidi ya 1000 kwa makanisa yote ya Dar es Salaam kuwa ule mradi ni wa vijana leo hii hakuna hata mchicha umepandwa na si ajabu yale mashamba wameshagawana maaskofu.

Ikitokea mtu akasema ukweli kua pamejaa matapeli mnamsimamisha huu ni UPUMBAVU
 
Tulia wewe unajua nini sisi ndio Viongozi wako
Tunapambana mchana na usiku kwenye hili Jambo na mashamba yapo na miche ipo

Acha kuleta uchonganishi kwanini mnatuona sisi kama wezi muda wote kwamba sisi hatuna hofu?
 
Miti Tena? Mbna umehoji vitu minor Sana, by the way hiyo sadak umelazimishwa kutoa
 
Hii Dayosisi ina makando kando mengi sana, walichangisha pesa kwa ajili la kupanda miti ekali zaidi ya 1000 kwa makanisa yote ya Dar kuwa ule mradi ni wa vijana leo hii hakuna hata mchicha umepandwa na si ajabu yale mashamba wameshagawana maaskofu.

Ikitokea mtu akasema ukweli kua pamejaa matapeli mnamsimamisha huu ni UPUMBAVU
Mtasema Yote safari hii
 
Hii Dayosisi ina makando kando mengi sana, walichangisha pesa kwa ajili la kupanda miti ekali zaidi ya 1000 kwa makanisa yote ya Dar es Salaam kuwa ule mradi ni wa vijana leo hii hakuna hata mchicha umepandwa na si ajabu yale mashamba wameshagawana maaskofu.

Ikitokea mtu akasema ukweli kua pamejaa matapeli mnamsimamisha huu ni UPUMBAVU
Acha uongo.
 
Tulia wewe unajua nini sisi ndio Viongozi wako
Tunapambana mchana na usiku kwenye hili Jambo na mashamba yapo na miche ipo

Acha kuleta uchonganishi kwanini mnatuona sisi kama wezi muda wote kwamba sisi hatuna hofu?
Kwa nini mnakua wakali mkiulizwa ? Mnashindwa kutoa report za kueleweka, kwa taarifa tu kwenye hicho kijiji hapo panalimwa viazi na hakuna miti nyie mlisema mna hekari 1000 acheni kuhadaa vijana waelezeni ukweli hizo hela mlipeleka wapi nyie na wakubwa zenu
 
Anania Ndondole sijui anajisikiaje chini ya uongozi wake wa vijana dayosisi hel la hiyo imepigwa
Huyu si ndio yule M/kiti wenu wa Dayosisi sema ye anaweza akawa anapokea maagizo tu kutoka juu pale kwa mwamba
 
Hii Dayosisi ina makando kando mengi sana, walichangisha pesa kwa ajili la kupanda miti ekali zaidi ya 1000 kwa makanisa yote ya Dar es Salaam kuwa ule mradi ni wa vijana leo hii hakuna hata mchicha umepandwa na si ajabu yale mashamba wameshagawana maaskofu.

Ikitokea mtu akasema ukweli kua pamejaa matapeli mnamsimamisha huu ni UPUMBAVU
Upigaji sio serikalini tu 😊😊,hawa Viongozi wanatakiwa kua mfano kwa watendaji serikalini ila na wao wanapiga hela tu 😀😊

Ndio maana Magufuli alikua anatandika wote mpk Viongozi wa dini
 
Walichanga makanisa yote ya KKKT DMP, we unasali wapi kwani ? Au ndio wale mnasali Pasaka kwa Pasaka
Nimekuja gundua kwa nini Magufuli alikua aheshimu Viongozi wa dini,alikua anawatetemesha wote,wapigaji tu
 
Back
Top Bottom