Mtasema Yote safari hiiHii Dayosisi ina makando kando mengi sana, walichangisha pesa kwa ajili la kupanda miti ekali zaidi ya 1000 kwa makanisa yote ya Dar kuwa ule mradi ni wa vijana leo hii hakuna hata mchicha umepandwa na si ajabu yale mashamba wameshagawana maaskofu.
Ikitokea mtu akasema ukweli kua pamejaa matapeli mnamsimamisha huu ni UPUMBAVU
Acha uongo.Hii Dayosisi ina makando kando mengi sana, walichangisha pesa kwa ajili la kupanda miti ekali zaidi ya 1000 kwa makanisa yote ya Dar es Salaam kuwa ule mradi ni wa vijana leo hii hakuna hata mchicha umepandwa na si ajabu yale mashamba wameshagawana maaskofu.
Ikitokea mtu akasema ukweli kua pamejaa matapeli mnamsimamisha huu ni UPUMBAVU
Kwa nini mnakua wakali mkiulizwa ? Mnashindwa kutoa report za kueleweka, kwa taarifa tu kwenye hicho kijiji hapo panalimwa viazi na hakuna miti nyie mlisema mna hekari 1000 acheni kuhadaa vijana waelezeni ukweli hizo hela mlipeleka wapi nyie na wakubwa zenuTulia wewe unajua nini sisi ndio Viongozi wako
Tunapambana mchana na usiku kwenye hili Jambo na mashamba yapo na miche ipo
Acha kuleta uchonganishi kwanini mnatuona sisi kama wezi muda wote kwamba sisi hatuna hofu?
Hahahaha ogopa sana nguvu ya chawa, unaweza usilale usingizi hata nuktaSema nini chawa wao wana nguvu kuliko kitu chochote na hamna cha kuwafanya πππ
Upigaji sio serikalini tu ππ,hawa Viongozi wanatakiwa kua mfano kwa watendaji serikalini ila na wao wanapiga hela tu ππHii Dayosisi ina makando kando mengi sana, walichangisha pesa kwa ajili la kupanda miti ekali zaidi ya 1000 kwa makanisa yote ya Dar es Salaam kuwa ule mradi ni wa vijana leo hii hakuna hata mchicha umepandwa na si ajabu yale mashamba wameshagawana maaskofu.
Ikitokea mtu akasema ukweli kua pamejaa matapeli mnamsimamisha huu ni UPUMBAVU
Nimekuja gundua kwa nini Magufuli alikua aheshimu Viongozi wa dini,alikua anawatetemesha wote,wapigaji tuWalichanga makanisa yote ya KKKT DMP, we unasali wapi kwani ? Au ndio wale mnasali Pasaka kwa Pasaka