Anasoma International School of Tanganyika?Ibada ya kingereza kkt mbezi beach ni once a month, na ni option sio unalazimishwa, binafsi mimi na watoto wangu tunasali engkish service na first born wangu mafundisho ameopt english kwa sababu ndio lugha amekua akiitumia shule na tuliona kiswahili kitasumbua
Cha mshingi wewe chagua ibada unayoimudu, kama ni kiswagili au kingereza
Wanapataje Ugumu?kwamba mtoto akisoma International School au Englush medium hawezi zungumza Kiswahili fasaha?Wabongo sisi ni shida sana, Colonialism mentality inatuhangaisha sanaSababu ya kutumia lugha ya kingereza kwa watoto ni kwamba asilimia 98 ya watoto wa sunday school mbezi beach wanasoma shule za english medium au international school na walimu wanapata ugumu kuwafundisha kwa kiswahili
Na hata mafunzo ya kipaimara wameweka option ya english na kiswahili, mtoto anachagua anachoweza
Hizi ndo menatality za Kibongo, yaani ujue bado tunaamini kuongea kingereza ni akiliKwa hiyo watoto wa mbezi beach hawajui kiswahili na wazazi ambao ni watanzania mnaona fahari watoto wenu hawajui kiswahili? [emoji23][emoji23]
Dunia imebadilika kivipi?acha mindset za ajabu, Kenya wanaongea Kingereza tupu ila kuna watu wana maisha magumu sana hasana hata 100 mfukoni,Wanajua kiswahili, binafsi wa kwangu anajua kiswahili lakini kinamsumbua, kumbuka shuleni since grade one anasoma masomo yote kwa.lugha ya kingereza, anapofika grade 3 ndio anaanza kusoma somo moja la kiswahili, unadhani hapo ni lugha gani atakua ameimaster sana kati ya english na kiswahili? Dunia imebadilika na maisha yamebadilika, ni lazima wazazi pia tujifunze kuadapt ulimwengu uliopo la sivyo watoto wetu watabaki nyuma
Wajifunze kiswahili sio wenyeji kuwekewa muda wao wa kuabudu ibada ya kizungu. Mbona mwanzo hizo ibada xilikua mchana kwa nini sasa wa cause 'incovinience' kwa wenyeji.Hahahaa hii ibada ipo Azania front na mimi ni mmoja wapo nasali hapo ila kuna mchungaji wetu alihamishiwa huko kutoka huku nafikiri labda ndiye aliyeenda kupeleka huko huu utaratibu. Kusudi kuu la hii ibada ni kuwapa nafasi waumini wa kigeni kushiriki ibada.
Kwa mf. waumini wengi wa Azania front ni wakazi wa Upanga, Oyster Bay, Masaki na Kinondoni maeneo haya kwa sehemu kubwa pia hukaliwa na wageni sana ambao kiswahili sio lugha wanayoimudu nahisi pia labda hata huko Mbezi walifanya ombi la kuwekwa hiyo ibada pia.
Bora ungesema watoto wanasali kingereza kwa lengo la kumudu lugha. Sasa wewe kasumbamtu unafikiri ukisali kwa kingereza ndio utasamehewa ufisadi na mungu? Msisumbue wenzenu kwa mindset zenu za kitumwa.Ibada ya kingereza kkt mbezi beach ni once a month, na ni option sio unalazimishwa, binafsi mimi na watoto wangu tunasali engkish service na first born wangu mafundisho ameopt english kwa sababu ndio lugha amekua akiitumia shule na tuliona kiswahili kitasumbua
Cha mshingi wewe chagua ibada unayoimudu, kama ni kiswagili au kingereza
Hiyo Krisimasi ya lini? Kama ya mwaka juu mbona wewe na mimi tulihudhuria ilikuwa ya kizaramo! Unatatizo la kusahau.Wakati Taifa lina lengo la kuimarisha matumizi ya lugha yetu kwenye nyanja zote ikiwa ni pamoja na elimu wapinzani wa taifa kujikomboa kwenye ukoloni wa lugha na utamaduni wa kigeni wanajibu mapigo kupitia makanisa.
Kama muomini wa KKKT Mbezi Beach sioni mahitaji na ungezeko la ibada na mafunzo ya sunday school kwa Kiingereza.
Ilianza kidogo kwa misa chache sasa kila Jumapili na kwa sikukuu ya chrismas na mwaka mpya. Naona kuna wazee wa usharika wamejaa kasumba ya Kiulaya, binafsi sipendelei jambo hili.
Nina hakika mahitaji ya misa kwa Kiingereza ni madogo sana au hakuna kwa hiyo viongozi wasitulazishe kukosa misa ya pili saa 4.00 asubuhi kwa Kiswahili eti inageuzwa ya Kiingereza.
Ingekua jambo la maana kanisa kuanzisha darasa la lugha ya kiswahili kwa hao waomini wachache badala ya kuwawekea ibada muda muafaka kwa waomini wengi.
Kama ndio usomi mwenyewe ni msomi ngazi ya uzamili ila sipendi kulimbukia utamaduni wa watu wengine.
Bado mnaendeleza ushoga?Bwashee sali misa ya kwanza.
Binafsi naona wamechelewa sana kuanzisha hii misa ya kiinglishi.
Kanisani kwetu pale Anglican St Alban Huduma kwa lugha ya malkia ina zaidi ya miaka 100 sasa.........Ni misa ya pili.
Ya kwanza na ya tatu ni za kiswahili!
Kuna misa ngapi?Wakati Taifa lina lengo la kuimarisha matumizi ya lugha yetu kwenye nyanja zote ikiwa ni pamoja na elimu wapinzani wa taifa kujikomboa kwenye ukoloni wa lugha na utamaduni wa kigeni wanajibu mapigo kupitia makanisa.
Kama muomini wa KKKT Mbezi Beach sioni mahitaji na ungezeko la ibada na mafunzo ya sunday school kwa Kiingereza.
Ilianza kidogo kwa misa chache sasa kila Jumapili na kwa sikukuu ya chrismas na mwaka mpya. Naona kuna wazee wa usharika wamejaa kasumba ya Kiulaya, binafsi sipendelei jambo hili.
Nina hakika mahitaji ya misa kwa Kiingereza ni madogo sana au hakuna kwa hiyo viongozi wasitulazishe kukosa misa ya pili saa 4.00 asubuhi kwa Kiswahili eti inageuzwa ya Kiingereza.
Ingekua jambo la maana kanisa kuanzisha darasa la lugha ya kiswahili kwa hao waomini wachache badala ya kuwawekea ibada muda muafaka kwa waomini wengi.
Kama ndio usomi mwenyewe ni msomi ngazi ya uzamili ila sipendi kulimbukia utamaduni wa watu wengine.
Pole sana mkuu, kila mtu ana uhuru wa kuchagua kilicho ndani ya uwezo wake wether ni utumwa au sio, hata hizi smart phone tunazotumia pia ni utumwa maana ni za wakoloni, hebubtuanze kutengeneza vya kwetu kwanza ndio tukatae vya mabeberu la sivyo mtabaki kuwalaumu mebeberu wakati lugha yao ndio inatawala duniaBora ungesema watoto wanasali kingereza kwa lengo la kumudu lugha. Sasa wewe kasumbamtu unafikiri ukisali kwa kingereza ndio utasamehewa ufisadi na mungu? Msisumbue wenzenu kwa mindset zenu za kitumwa.
You have a point mkuu, lakini kwa uchumi wetu huu ambao 60% ya bajeti tunategemea matafifa makubwa ni ngumu kupenya kwenye uchumi wa dunia, lugha yetu ni maarufu tu hapa east africa na hata sio africa nzima, imagine mchina yeye anajitegemea 100% kwenye bajeti yake na elimu yao ni huru na pia soko la dunia linamtegemea mchina kwa asilimia kubwa tu, sio sahihi kujilinganisha na mchinaDunia imebadilika kivipi?acha mindset za ajabu, Kenya wanaongea Kingereza tupu ila kuna watu wana maisha magumu sana hasana hata 100 mfukoni,
Dunia inahitaji vitu kama Networking, Exposure na kadhalika, mbona wachina wanatoka China na hasajui Lugha nyingine na wako Dunia nzima?
Wachina wako Msumbiji na aanapiga biashara ila hawajui Kireno na wanapiga pesa mbaya,
Anaye kudanganya Dunia inahita Kingerez ni nani?
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Imagine mtoto ameanza shule akiwa na miaka miwili, lugha anayoitumia shuleni ni kingereza tu anashinda shuleni masaa 8 mpaka tisa, mpaka anafika miaka 9 unadhani kiswahili atakua anakijua au anababaisha tu?Wanapataje Ugumu?kwamba mtoto akisoma International School au Englush medium hawezi zungumza Kiswahili fasaha?Wabongo sisi ni shida sana, Colonialism mentality inatuhangaisha sana
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Its totally non of your business