KKKT Mbezi Beach msilazimishe waumini kuabudu kwa Kiingereza

Hahahapale kqnisani kuna sanduku la maoni
 
Amia kanisa la kijitonyama ama sala sala
 
Ungeambiwa kwa kiarabu sijui ungesemaje!
 
sisi waslam halituhusu hili maana huwa tunachanganyiwa Quran kwa kiarabu lakini hapo hapo tafsiri inatoka kwa kiswahili hatuna shida.Na endajpo akitokea Shehe mmoja ametokea Arabuni hajui Kiswahili kabisa hapo atatoa mawaidha yake kiarabu pembeni kuna mkalimani anatafsiri haraka igeni utamaduni wa waslam nyie wakristo wenzetu acheni kulalamika huwezi hama kanisa sababu ya lugha.Ukristo na usilam baba yetu ni Ibrahimu
 
Acheni ukuda, hizo ibada zipo katoliki muda mrefu. St Joseph ziko service mbili, 8:45 na 11:45 kila jumapili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…