KKKT punguzeni ada za shule zenu ni michango ya waumini

KKKT punguzeni ada za shule zenu ni michango ya waumini

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ushainaa unatoa sadaka na michango kwa ajili ya ujensi wa shule lakini unashindwa kusomesha mwanao, Hii ndioo kichekeshoo kinachoendeleea yaan ada zao kama awataki mtu kusoma hapo.

Ushauri tu kwa KKKT mkumbuke n michango ya waumini kuwafikisha hapo mlipo na aim ni kusaidia waumini wenu kama namba moja...Wasomeshe watoto wao.

Inashanagaza kuona watu wa nje kabisa ndioo wanasomesha watoto wao shule zenu

Punguzen ada mkajitafakari wapendwa

Mungu awabariki
 
Unaweza acha tu kutoa michango...Toa sadaka zingine
 
Kujenga shule kitu cha kwanza, hizo ada ni kwa ajiili ya kuendesha hizo shule sio kujenga,

Nb, kama huwez kulipa ada hapo means hata michango ulitoa midogo,

Tukiweka bei ada bei ndogo, tutaajiri walimu low quality, mishahara midogo, misosi ya ovyo, mwisho shule inakufa
 
Ushainaa unatoa sadaka na michango kwa ajili ya ujensi wa shule lakini unashindwa kusomesha mwanao, Hii ndioo kichekeshoo kinachoendeleea yaan ada zao kama awataki mtu kusoma hapo.

Ushauri tu kwa KKKT mkumbuke n michango ya waumini kuwafikisha hapo mlipo na aim ni kusaidia waumini wenu kama namba moja...Wasomeshe watoto wao.

Inashanagaza kuona watu wa nje kabisa ndioo wanasomesha watoto wao shule zenu

Punguzen ada mkajitafakari wapendwa

Mungu awabariki
Kama unajua leo hii matrix nikupe pole sana, na bado unasafar ya kujua zaidi.. leo umejua shule, fikiria tuh hospital ambazo makanisa wameanzisha kwa michango ya waumin, kuna vyuo.
Kiufupi ni kwamba wakristo wengi dunian wanauziwa iman yao kwa mlengo wa toa ndugu Mungu atakubariki.. dini nyingi zimekuwa ni taasisi za kuwanufaisha wachache, zimekuwa ni mateso kwa waumin wake kwa kigezo wanapigana na shetan hakuna shetan kwenye dini hiyo ni biashara na inamipango mikubwa kwa watu dunia nzima haswa wafrica so ukishaelewa hiyo sytems utaelewa maana ya neno Dini
 
Kama unajua leo hii matrix nikupe pole sana, na bado unasafar ya kujua zaidi.. leo umejua shule, fikiria tuh hospital ambazo makanisa wameanzisha kwa michango ya waumin, kuna vyuo.
Kiufupi ni kwamba wakristo wengi dunian wanauziwa iman yao kwa mlengo wa toa ndugu Mungu atakubariki.. dini nyingi zimekuwa ni taasisi za kuwanufaisha wachache, zimekuwa ni mateso kwa waumin wake kwa kigezo wanapigana na shetan hakuna shetan kwenye dini hiyo ni biashara na inamipango mikubwa kwa watu dunia nzima haswa wafrica so ukishaelewa hiyo sytems utaelewa maana ya neno Dini
Mungu akupe uhaii nduguu yaan nimewaza nikawazikaaaa hivi mil3 mtoto waa la kwanza akifika lasaba analipa ngapi sasa kama n hivi bora hii michango tukatoe sadakaa kwabyatima tu
 
wambie na madereva wa school bus wasitunyime lift bwan
 
Back
Top Bottom