Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Poleni sana marehemu watarajiwa mnaosoma hapa
Vizuri tukaelimisha makanisa ndugu zenu wasiteseke mnapotangulia.
Juzi tulikuwa msiba mmja kanisa moja kmr kumwaga mama yetu mmoja.
Watu walishiriki kwa kutoa sadaka baada ya sadaka mch anasema sadaka hizi tutaleta kwa mume wa marehemu akirudi iliumiza wengi sana.
Hata waliposhauriwa wafiwa wanahtaji ziwasaidie safarini waligoma kutoa .Sasa unajuaje atarudi wewe ni Mungu.
Ushauri makanisa yote.
Sadaka wapewe wafiwa siku ileile mtafanya watu washinde bar kuuluzia kama mda wa kuaga umefika.
Tuombe
Sala ya bwana
Neema ya bwana wetu
Mungu awape mwisho mema mnaosoma na nyie msisndikize tu siku moja msisndikize na muwe kwenye kitabu cha uzima wa milele
Amen
Vizuri tukaelimisha makanisa ndugu zenu wasiteseke mnapotangulia.
Juzi tulikuwa msiba mmja kanisa moja kmr kumwaga mama yetu mmoja.
Watu walishiriki kwa kutoa sadaka baada ya sadaka mch anasema sadaka hizi tutaleta kwa mume wa marehemu akirudi iliumiza wengi sana.
Hata waliposhauriwa wafiwa wanahtaji ziwasaidie safarini waligoma kutoa .Sasa unajuaje atarudi wewe ni Mungu.
Ushauri makanisa yote.
Sadaka wapewe wafiwa siku ileile mtafanya watu washinde bar kuuluzia kama mda wa kuaga umefika.
Tuombe
Sala ya bwana
Neema ya bwana wetu
Mungu awape mwisho mema mnaosoma na nyie msisndikize tu siku moja msisndikize na muwe kwenye kitabu cha uzima wa milele
Amen