Mie huyu🙄🙄??Umekuwa freemasson
Kwani sadaka maana yake ni nini, nadhani ni sehemu ya ibada kwaiyo kuziacha kwa familia ya marehemu ni hiyari na sio lazima. Na ndio maana kuna michango ya rambirambi kwaajili ya familia.
Kwani sadaka maana yake nini?Poleni sana marehemu watarajiwa mnaosoma hapa
Vizuri tukaelimisha makanisa ndugu zenu wasiteseke mnapotangulia.
Juzi tulikuwa msiba mmja kanisa moja kmr kumwaga mama yetu mmoja.
Watu walishiriki kwa kutoa sadaka baada ya sadaka mch anasema sadaka hizi tutaleta kwa mume wa marehemu akirudi iliumiza wengi sana.
Hata waliposhauriwa wafiwa wanahtaji ziwasaidie safarini waligoma kutoa .Sasa unajuaje atarudi wewe ni Mungu.
Ushauri makanisa yote.
Sadaka wapewe wafiwa siku ileile mtafanya watu washinde bar kuuluzia kama mda wa kuaga umefika.
Tuombe
Sala ya bwana
Neema ya bwana wetu
Mungu awape mwisho mema mnaosoma na nyie msisndikize tu siku moja msisndikize na muwe kwenye kitabu cha uzima wa milele
Amen
Hamna ibada ambayo haiendani na sadaka. Hata ibada za matambiko, na hata ibada mnazofanya na waganga wenu mnapelekea sadaka, je kwanini mnakasirika na sisi tukimtolea Mungu wetu kwa furaha na moyo wa kupenda?yaani mpaka mtu AFE ndo mchukue sadaka?
Asingekufa?
Nyie subirini sadaka zenu za jumamosi na jumapili.
Vingenevyo watu watawahisi kuwa MNAPENDA wafe ili mkusanye sadaka za marehemu.
Kuna wakati marehemu anaondoka anaacha madeni hizo sadaka zingesaidia
Kaacha kuandika yale maherufi makubwaaaaaaa. Lakini bado kichwa ni cha moto kwelikweliGodlike
Sadaka haitakiwi kupewa familia ya marehemu. Familia itapewa rambirambi. Kiroho, sadaka ni mali ya Mungu, Mungu ndio ibada yenyewe. Hata mkienda kutambika bamuendi mikono mitupu, pia mkienda kwa waganga hamuendi kinyonge, iweje mnataka kumpora Mungu haki yake?Kwani sadaka maana yake ni nini, nadhani ni sehemu ya ibada kwaiyo kuziacha kwa familia ya marehemu ni hiyari na sio lazima. Na ndio maana kuna michango ya rambirambi kwaajili ya familia.
Asingekufa sadaka mngepata wapi?Hamna ibada ambayo haiendani na sadaka. Hata ibada za matambiko, na hata ibada mnazofanya na waganga wenu mnapelekea sadaka, je kwanini mnakasirika na sisi tukimtolea Mungu wetu kwa furaha na moyo wa kupenda?
Kwani siku zote kanisa linapata wapi sadaka? Ibada za wafu ni chache sana kanisani. Ni taahira peke yake anayeweza kuuliza swali lako, naamini jina lako linajitoshelezaAsingekufa sadaka mngepata wapi?