Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,065
- 18,358
Wenzio wanauza kofia za chama kule kariakoo jombaaaa!Mimi ndo napakata mangi tena sina kibamia, kama uko tayari PM
Wewe mwanaume unakuja kulia lia huku?
Huna adabu we!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio wanauza kofia za chama kule kariakoo jombaaaa!Mimi ndo napakata mangi tena sina kibamia, kama uko tayari PM
So, vipi Ipo T ?Wenzio wanauza kofia za chama kule kariakoo jombaaaa!
Wewe mwanaume unakuja kulia lia huku?
Huna adabu we!
Ni heri ataa huyu .wengine ni kusifia tuu mpaka ikiamuliwa vinginevyo ndio tena unawasikia wakisifia. yaani Sijui yaani Tz mpaka makanisa yanalogwaHahahahahaha huwa siyamini makanisa hata siku moja
Unataka kusema hakuna wachaga wanaccm?Ukweli unabaki kuwa ukweli tu hata kama nisipousema mimi
Ushafilisika hoja.KKKT inaburuzwa na ASKOFU SHOO ambaye kwanza ni mangi pili ni TeamLowassa, Hakuna cha katiba hapo wala dini ni KUTAFUTA ULAJI TU wa NORTH POLE
Katiba ya Warioba ndio suluhisho
Wapo ila ni majizi yaliyokubuhu, yameharibu kabisa taswira ya chamaUnataka kusema hakuna wachaga wanaccm?
Bora majizi kuliko mavivu, ndiyo maana Kilimanjaro kuna maendeleo.Wapo ila ni majizi yaliyokubuhu, yameharibu kabisa taswira ya chama
Maendeleo gani, ya kunywa mbege na ku import wanaume kutoka Kenya ?Bora majizi kuliko mavivu, ndiyo maana Kilimanjaro kuna maendeleo.
ASKOFU mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Iringa, Blaston Gaville, amemuomba Rais Dk. John Magufuli kumalizia mchakato wa kuandikwa kwa Katiba mpya ulioachwa na mtangulizi wake.
Akizungumza baada ya kuwekwa wakfu Askofu Gaville na msaidizi wake, Himidi Sagga, katika ibada iliyofanyika juzi katika Viwanja vya Shule ya Msingi, Gangilonga, alisema Wakristo na Watanzania kwa ujumla wana imani kubwa na Serikali ya Dk. Magufuli na ni matarajio yao kwamba mchakato wa kuandika Katiba mpya utamalizwa kama lengo lilivyokuwa.
Askofu huyo alisema Dayosisi ya Iringa inatoa mwaliko kwa vyama vyote vya siasa na jamii nzima ya Watanzania kuendeleza kukuza tunu ya ushirikiano na moyo wa kizalendo ili kuwa na maendeleo yenye tija kwa wananchi na Taifa kwa ujumla.
Katika ibada hiyo, Askofu Gaville alieleza kuwa wanatiwa moyo na jitihada zinazoendelea kufanywa na Dk. Magufuli katika kufufua uchumi na kuhakikisha rasilimali za nchi zinatumika kwa manufaa ya Watanzania wote na
kwa kufanya hivyo, ni faraja kubwa kwa vizazi vya sasa na vijavyo.
“Kweli nasema nchi yetu ina wanyonge wengi kuliko wenye nguvu, tunatiwa moyo na rais na Serikali yake tunapoona wanatetea wanyonge,” alisema Askofu Gaville.
Hata hivyo, askofu huyo aliiomba Serikali iangalie upya suala la kodi kwa mashirika ya dini kwakuwa baadhi ya kodi wanazolipa ni kwa kuendeleza elimu kupitia vyuo vya ufundi.
“Katika kuunga mkono jitihada za Serikali, kanisa linasaidia watoto masikini wapate haki yao ya elimu, tunaomba Serikali isituingize katika kundi la watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo kwa sababu wanasoma shule binafsi.
Chanzo: Mtanzania