KKKT wamtaka rais Magufuli akamilishe Katiba Mpya

Mimi ndo napakata mangi tena sina kibamia, kama uko tayari PM
Wenzio wanauza kofia za chama kule kariakoo jombaaaa!
Wewe mwanaume unakuja kulia lia huku?
Huna adabu we!
 
Rais wa jamhuri ya muungano dkt john pombe Joseph magufuli ktk kampeni zake za Lusaka urais 2015 hakuwahi kutamka kuwa atakamilisha /ataendelea na ukamilishaji wa katiba.
Mimi nijuavyo na ninavyofikiria ,Mh Rais john pombe Joseph magufuli atashughulika na ukamilishaji wa katiba Mpya kuanzia 2021 hadi 2025 . ktk miaka hii mitano,yeye amejikita na masula ya kusimamia nidhamu ya watumishi,kurekebisha uchumi, watumishi hewa , vyeti feki n.k.
 
Katiba mpya si kipaumbele kwa sasa,kama watu waliitumia nafasi vibaya nafasi waliopewa kutuletea katiba,wasifikirie nafasi huja mara mbili.
Subirini tufyeke mafisadi kwanza
 
Baba Askofu unayo mawazo mazuri sana lakini hayo mawazo yako hayawezi kutekelezwa na mtu wa aina hiyo. Yeye anayo mipango yake kuhakikisha chatou panakuwa makao makuu ya nchi
 

'Ndugu zangu Walutheri..." By Lowassa, 2015
 
Mkitaka katiba mbovu kuliko tunayoikataa turuhusu utawala huu utunge katiba
 
Nchi za kipeasant zina matatizo makubwa....fikiria ni kiasi gani serikali imepoteza katika mchakato wa katiba mpya halafu hakuna matokeo ya huo mchakato! Leo tunakuja mbele ya wananchi na kuwaaminisha kwamba fedha nyingi zimeibiwa na ACASIA ndo maana hakuna madawa hospitalini....vipi hizo ambazo serikali imezipoteza bila kazi yoyote...wakati mwingine Magu asisingizie mafisadi kwamba ndo tatizo....serikali nayo pia inawafisadi wananchi wake...Billions of money zinapotezwa hivihivi kwenye mchakato wa katibu...bila faida yoyote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…