Klabu bingwa Africa: Yanga yaichapa Township Rollers 1 - 0 na kufanikiwa kuingia raundi ya pili

Juzi nilienda kuwashangalia KMC bahati mbaya magoli hayakutosha,jana nikaenda Chamazi mambo yakawa safi leo naenda Taifa kuwashangilia Simba.Na declare interests mm ni mpenzi wa Yanga.Mashindano ya Afrika nafurahi sana timu za Tanzania zinapofanya vzr.Pongezi kwa Malindi pia.
Leo umechezwa mpira kesho linapigwa kabumbu,ma men Shiboub ataburudisha eneo la kati
 
tutawapa knokout hao kenge
 
Hahahaaa!!!! Dada najua hii hongera kwa sababu hamjajua jioni yenu. [emoji3][emoji3][emoji3]

Ahsante Dada lakini hapa najiandaa tu kuwaangalia Du Songo. [emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Msiangalie mechi yenu mje kuangalia yetu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Msiangalie mechi yenu mje kuangalia yetu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hivyo hivyo πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ

Mida hii muko wapoole kama sio nyie. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…