Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Klabu bingwa barani Afrika,ES Setif imevuliwa ubingwa kwa kuchapwa mabao 2-0 na El Merreikh ya Sudan jijini Khathoum. Setif walikuwa wakiongoza kwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza.
El Merreikh imetinga hatua ya nusu fainali na sasa itaivaa TP Mazembe ya DR Congo. Imefika hatua hiyo baada ya kufika hapo mwaka 1975.
El Merreikh imetinga hatua ya nusu fainali na sasa itaivaa TP Mazembe ya DR Congo. Imefika hatua hiyo baada ya kufika hapo mwaka 1975.