Klabu Bingwa Afrika: ES Setif yavuliwa ubingwa

Klabu Bingwa Afrika: ES Setif yavuliwa ubingwa

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Klabu bingwa barani Afrika,ES Setif imevuliwa ubingwa kwa kuchapwa mabao 2-0 na El Merreikh ya Sudan jijini Khathoum. Setif walikuwa wakiongoza kwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza.

El Merreikh imetinga hatua ya nusu fainali na sasa itaivaa TP Mazembe ya DR Congo. Imefika hatua hiyo baada ya kufika hapo mwaka 1975.
 
Back
Top Bottom