KLABU BINGWA AFRIKA KUNDI D, al ahly, simba, js saoura, as vita club

KLABU BINGWA AFRIKA KUNDI D, al ahly, simba, js saoura, as vita club

paul green

Member
Joined
Jan 16, 2019
Posts
18
Reaction score
17
matokeo ya raundi ya kwanza
simba 3 vs 0 js saoura
al ahly 2 vs 0 as vita club

round ya pili
js saoura 1 vs 1 al ahly
as vita vs simba (saa 1 usiku)

msimamo
1.al ahly mechi 2 point 4
2.simba mechi 1 point 3
3.js saoura mechi 2 point 1
4.as vita mechi 1 point 0

nini maoni yako kuhusu mechi ya simba leo saa 1 usiku dhidi ya as vita club?
kwa mtazamo wako katika kundi hili, je, ni timu gani zitakazo songa mbele katika hatua ya robo final?
nini hatima ya simba katika mashindano haya? atafika wapi? je, ni hapahapa makundi, robo final, nusu final, final, au atarudi na kombe???????
 
Unataka maoni au utabiri?

Maoni yasubirie baada ya mechi.
 
Simba watakuwa katika nafasi nzuri Sana Kama watashinda hii game ya leo.Natumaini watajitahidi kadri ya uwezo wao ili wajiwekee nafasi nzuri ya kuvuka hatua hii.
Wasiposhinda au kutoa sare Mambo yanaweza kuwa magumu.
Wengine tunategemea Sana mechi za nyumbani kuchukua point tatu lakini Mambo yanabadilika.Jana soura katoa sare nyumbani kwake dhidi ya Al ahly ambapo Nina uhakika hawakutegemea maana ilikuwa ni muhimu wao kushinda.
Ili Simba isijipe Kazi mbeleni inatakiwa ishinde mechi za ugenini angalau moja na draw zingine zilizobaki akianza Na hii ya Leo alafu game za nyumbani zilizobaki ajitahidi ashinde.
Simba itafute point tatu bila kujali Ni nyumbani au ugenini.Hii itasaidia Sana.
Vinginevyo Mambo yatakuwa tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naimani Simba leo watashinda, Hajees Manara aanze kaze yake ya Mboyoyo mapema basiii...this is SIMBA leo tuibuke kidedea.
 
Na sisi wa YANGA tuna"comment" wap?

Sent using Jamii Forums mobile app
Humu
images-8.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom