ngogo s ngogo
Senior Member
- Nov 29, 2015
- 134
- 81
Mechi ya klabu bingwa Afrika hatua ya makundi GROUP D imemalizika kwa timu hizo kugawana pointi moja moja baada ya kufungana 1 - 1
Refa amelikataa goli safi la JS SAOURA lililofungwa ktk muda wa nyongeza. Ama Kweli ukiwa timu kubwa raha.
Al Ahly ilikuwa wafe hii game. Sio mbaya. BADO TUNA NAFASI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Refa amelikataa goli safi la JS SAOURA lililofungwa ktk muda wa nyongeza. Ama Kweli ukiwa timu kubwa raha.
Al Ahly ilikuwa wafe hii game. Sio mbaya. BADO TUNA NAFASI.
Sent using Jamii Forums mobile app