Klabu bingwa Afrika: Simba SC 1-0 Al Ahly

Tarh 9 tuko na JS SOURA hapa inabidi tuthibitishe soura ni kibonde wetu.
Yes we can
 
Nipo mdogo wake. Nakuona unaonekana kutokana kwa matukio.

Hongereni. Vp umzima?
Dada ake upooo

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Babu nimekumiss upo ?

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
Nipo mpenzi. Ukinimisi uwe unanipigia simu basi.

Mi nimekumisi zaidi tatizo simu iliibiwa namba zako zikapotea na simu

I'm a man from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...
 
Simba katika mechi 2 zilizo baki kabakisha point 1 tu. Akienda kwa mwarabu anakufa, vita akija atatoa naye sare. Simba Na Vita ndio watakao tolewa kwenye group lao
 
Kabisa chief, dua zielendelee walau tupate sare uarabuni halafu tumalizane na wenge bcbg kistaarabu kabisa hapa kwa mchina

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwarabu akikosea akatupa droo... kwisha kazi. Si tumwombee wenge musica wamtandike mwarabu wetu wa jana... Baaasi! Mechi za mwisho zitakuwa kufa na kuuana
 
Simba katika mechi 2 zilizo baki kabakisha point 1 tu. Akienda kwa mwarabu anakufa, vita akija atatoa naye sare. Simba Na Vita ndio watakao tolewa kwenye group lao
Bahati nzuri ni kuwa Mungu huwa hasikilizi dua za wenye roho mbaya
 
Mwarabu akikosea akatupa droo... kwisha kazi. Si tumwombee wenge musica wamtandike mwarabu wetu wa jana... Baaasi! Mechi za mwisho zitakuwa kufa na kuuana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kundi la moto sana hili, na simba anaweza kuwa na rekod nzuri ya kutopoteza nyumbani. Cha muhimu washikilie hapo hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…