AKASINOZO
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 1,367
- 2,219
Kuna kichaa mmoja sio ni ndal Fc alisema Simba ataishia point 3 Sjui kafich wapi li sura lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauza simKuna kichaa mmoja sio ni ndal Fc alisema Simba ataishia point 3 Sjui kafich wapi li sura lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wepesi sana kusahau yaani wameshasahau zile tano hata mwezi badoleo tarehe 12/02/2019 kulikua na mechi kati ya simba 1 na Al ahly 0 na kwa wale wasiokuwa na kumbukumbu
tarehe 16 mwezi wa pili simba watafanya mazoezi kwa ajili ya kuikabili as vita ya Congo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1020865
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza mkuuHivi haiwezekani kupost bila hiyo 'Sent using Jamii Forums mobile app' kuwapo?
We mwarabu unaandika kiswahili kizuri hiviSiku nyingine kama huelewi kilichoongelewa ni heri ukaomba ufafanuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga kaingiaje sasa, huu sasa ni zaidi ya uendawazimu. Wee komaa hata akija As Vita uchukue point, habari za Yanga zilete baada ya tarehe 16 febHakika Mungu humsikia mja wake , dua la kuku halimpati mwewe Yanga ya Bwawani leo wametoka vichwa chini kwa aibu hawakujua kuwa kila timu point 3 za nyumbani ni zake leo Mabingwa wa Nchi wamewachapa Al Ahly Bao kwa bila na kuchukua Point zote 3.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipakwa mnafuta atakazaje?
Mwendawazimu wewe uliyepanic mbona wenzako wako kimya? mji mzima mlikuwa mnazunguka oho goli 5 juzi kapigwa Chelsea 6 itakuwa SimbaYanga kaingiaje sasa, huu sasa ni zaidi ya uendawazimu. Wee komaa hata akija As Vita uchukue point, habari za Yanga zilete baada ya tarehe 16 feb
Mwigulu Nchemba amewapa jina jipya vyura viruka njia.Kuna kichaa mmoja sio ni ndal Fc alisema Simba ataishia point 3 Sjui kafich wapi li sura lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwendawazimu wewe uliyepanic mbona wenzako wako kimya? mji mzima mlikuwa mnazunguka oho goli 5 juzi kapigwa Chelsea 6 itakuwa SimbaYanga kaingiaje sasa, huu sasa ni zaidi ya uendawazimu. Wee komaa hata akija As Vita uchukue point, habari za Yanga zilete baada ya tarehe 16 feb
Vita anapigwa usiku huuOmbeni Vita afungwe na Js soura, other wise nafasi ya 3 inawahusu kwa mara nyingine 🤣🤣🤣
Wewe kiruka njia tu.Ombeni Vita afungwe na Js soura, other wise nafasi ya 3 inawahusu kwa mara nyingine 🤣🤣🤣