Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Leooo mlaloooo utakuwaaa wa karneeee sio kwa furahaaa ya leooo
Niko hapaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko hapaaaaaaaa
Huu mfano huyu mbongo lazima atakuelewa tuUkipiga bao moja au tano mimba huwa ni moja tu
Vipiii alifanyiwa sub!???Zana Coulibaly atafanyiwa Sub mapema sana maana naona kabisa goli mbili za fasta fasta wakipigwa simba zitatokea upande wa Zana.
Woyooooooooooooooooooooooooooo
Wahedddddddddddd 😅😂😂
Furaha kama yoteee hakuna live band leo kule unapoendaga [emoji6]Leooo mlaloooo utakuwaaa wa karneeee sio kwa furahaaa ya leooo
Nakazia nakazia man u watupe raha kama simba jamaniWoyooooooooooooooooooooooooooo
This is [emoji881] brothers and sisters!!
PSG leo nae anakuwa mchumba tu [emoji28][emoji28]
matokeo yamekuwa kweli hahahahahahaSimba 1:0 alh
Ingekuwa hivyo basi Simba angekuwa anaongoza ligi ya Bara na mechi saba mkononi 😀😀😀Kagoli kamoja halafu timu inapewa point 3. Hawa CAF inabidi wabadili sheria zao. Yaani timu ipigwe 5, aliyeshinda apewe point 3, huyu kabahatisha kamoja tena kakagere, naye apewe point 3. Ahhhh
Unachokitafuta utakipata
Moja zitoYan namuangalia kocha wao hapa anataka kurusha ngumi. Yan wao walitupiga tano tukakubali tu ila wao kamoja tu wanataka kurusha ngumi
Sent using Jamii Forums mobile app