Mkuu wachana nao.Iam posting from Canada I don't understand your language. Is this a final result? ***** mtakufa kwa roho mbaya
Ndio Mwigulu Nchemba kawapatia jina jipya wanaitwa viruka njia.Yaani vyura sasa wanaitwa viruka njia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wachana nao.Iam posting from Canada I don't understand your language. Is this a final result? ***** mtakufa kwa roho mbaya
Njoo huku na waarabu wakoWamezifuata point 3 zao ili wafikishe point 10 katika msimamo.
Halafu mda huo mtakaojichanganya nyinyi kujifanya mnashambia ili mpate goli kumbuka counter attack za waarabu na namna walivyo makini kwenye matumizi ya nafasi wanazopata. Bora na ninyi mpaki basi tu walao mfungwe goli 3.
Yanapenda kulia kwakwakwakwaVyura kama bata tu.... Ngoja tuwaimbie
Mabata madogo madogo yanaogelea (itikia jangwani..)
Jr[emoji769]
Inamtosha!
Tarehe 16 anacheza tena
Hahahahahawa makocha wa kwenye kahawa wasikuchoshe ndugu yangu 😀
Na mmeroga kweli waarabu wazito kama wamefungwa maweEeeeeeh huku mtaani wanasema tumeroga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanapenda kulia kwakwakwakwa
Tatizo Hawa waarabu walivaa jezi za blue kama Chelsea. Reds wakawatafuna tu
Kagoli kamoja halafu timu inapewa point 3. Hawa CAF inabidi wabadili sheria zao. Yaani timu ipigwe 5, aliyeshinda apewe point 3, huyu kabahatisha kamoja tena kakagere, naye apewe point 3. Ahhhh
Hamna kitu pale msuli zimamoto tuTatizo Hawa waarabu walivaa jezi za blue kama Chelsea. Reds wakawatafuna tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Kwa hiyo simba walikuwa wanatumia miamvuli?Sema mlichomuweza muarabu leo ni kumchezesha sa 10 kwenye jua na joto kali.
Sent using Jamii Forums mobile app