Yaani wasingeandika saa hizi. ππ washukuru MunguKwakweli jipongezeni maana hapa wapambe tumekuwa wapole ingekuwa viceversa mngekoma leo.[emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ungemalizia na This is Simbaaaaa BrotherHongereni Watani zangu sababu kama ni mpira mmeucheza hasa. Mtuzoweage tu sababu ndio utani wa jadi ulivyo.
Cc. Wale wana simba lialia wooote
Hahahaa. Bora na weye umewajuaMikia ndio zao wavumilie tu
Na test mitambo
Pole sana mkuu.Siku chungu hii lakini sijui kwanini nina furaha [emoji2362]
Maombi yangu kesho Man U na Madrid wafungwe nipate amani walau.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaah mshabadilika tena..hawa sio wanaume??...mashabiki wa gongowazi ndo mashabiki pekee wanaoweza kushabikia timu tatu tofauti ndani ya siku tatuDharau kama hizi tulizitarajia ngoja waje wanaume.
Vyura lini mmemfunga muarabu hata daraja la nneonce a mkia always a mkia,hawa Saura wangekutana na mashujaa wangepigwa kumi
Hii nimemuachia Manara Insta. πππ
Inshallah,kwema kabisa kheri ya mwaka mpyaNipo Mkuu,vipi kwema?
Sent from my iPhone using JamiiForums
ulimwengu kagusa Mara 4
Dharau kama hizi tulizitarajia ngoja waje wanaume.
Mlianza mbabane...mkaja nkana..mkahamia kwa hawa...sahv mmebadilishia gia angani...sisi ndo simba tunatatua marinda yote ya mashabiki wa gongowazi na timu mnazoshangiliaFull time Simba 3-0 SSC. Hongereni sana Mikia FC ila kelele hatutaki mjini..
Hii timu ni mdebwedo msijisifu sana,tunawasubiri vitalO na Alalhy
Eee. Wachaaaa.
Acha dharau mech Bado 5 ,,,,,utakutana na wanaume watakuonesha kaz
Hahaaa. Ndio nashangaa ujue. Sababu yawapasa washangilie saa hizi na si kutoka povu.
Itakuwa hawajui maana ya Utani.
HahaaaaaaHii nimemuachia Manara Insta. [emoji12][emoji12][emoji12]
Kweli kabisa waeza sema bora Nkana alikuwa na uhai na sio hawa Waarabu.Halafu kwa timu gani kali ya kutuletea dharau? Kile kibonde 3-0 sio ya kujisifu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums