sweetlee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 4,050
- 14,770
Zaidi ya kilazaaaShafii dauda ni moja ya wachambuzi vilaza duniani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya kilazaaaShafii dauda ni moja ya wachambuzi vilaza duniani!!
washakua vibonde tena...tutazidi kutatua marinda ya washabiki wa gongowazi na timu mnazozishangiliaHalafu kwa timu gani kali ya kutuletea dharau? Kile kibonde 3-0 sio ya kujisifu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naona mnaumia...uhai waupatie wapi wakati wamekutana na timu inayojua mpiraKweli kabisa waeza sema bora Nkana alikuwa na uhai na sio hawa Waarabu.
mmepigwa jumla jumla!Hahahaaaa. Jamaani. [emoji85][emoji85][emoji85]
Yajayo yanafurahishaShafii dauda ni moja ya wachambuzi vilaza duniani!!
Ndio hapo sasa. 😃😃😃😃Halafu sisi mbona hatukuwa na tatizo nao? Sisi tuliamua kushabikia Waarabu period.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Aah. Wapiii. Vibonde tu wale.Naona mnaumia...uhai waupatie wapi wakati wamekutana na timu inayojua mpira
Leo ana machungu ya kwenda leba[emoji23][emoji23]Litakua Juha lile jamaa
Hahaaa. Ndio nashangaa ujue. Sababu yawapasa washangilie saa hizi na si kutoka povu.
Itakuwa hawajui maana ya Utani.
Acha tu aiseeee.
Mlianza mbabane...mkaja nkana..mkahamia kwa hawa...sahv mmebadilishia gia angani...sisi ndo simba tunatatua marinda yote ya mashabiki wa gongowazi na timu mnazoshangilia