Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Yanga ikishiriki kimataifa misimu mitatu iliyopita mlikuwa mnahama hivyo hivyo.
🀣🀣🀣 kikawaida ni ngumu sana kuleta Utanzania kwenye Simba na Yanga haitakaa itokee labda wale washabiki hasa ka kina Steve lia lia ila kina sie haitakaa itokee tukaishabikia Simba labda siku ije icheze yenyewe Uwanjani. 🀣🀣🀣🀣
 
Mikia wanashinda..Yanga tumeshawafunga wa Algeria wawili kwa mchina majuzi tu
 
Ila mmejua kuujaza uwanja. Nawaza tu matokeo yakiwa kinyume na mnavyofikiria sijui mtatokaje. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mashabiki wenzangu JS Saoura mko wapi? Mambo yameiva huku... naona jamaa wameamua kututeka Yanga kabisa, sio kwa jezi hizi jamani hahaaaaa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Tupo Dada. Leo Mikia kazi wanayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…